WEWE unashangaa nini? watoto wa walala hoi katika mkoa wa dar walikalia mawe kwa miaka sita ! sule zote za uswahilini walioko walala hoi watoto wao walikalia mawe lakini shule za kule kuliko kle kimaisha hawakujua hali hiyo.Nguvu ya soda inajulikana sku zote,matokeo yalipotoka kelele zilikua nyingi,waliofeli wengi ni watoto wa wapiga kura,naamini hakuna mtoto wa waunda tume anayesoma shule hizo,mpaka leo kama unasubiri uamuzi wa serikali umeumia,EE Mungu wadogo zetu
Nguvu ya soda inajulikana sku zote,matokeo yalipotoka kelele zilikua nyingi,waliofeli wengi ni watoto wa wapiga kura,naamini hakuna mtoto wa waunda tume anayesoma shule hizo,mpaka leo kama unasubiri uamuzi wa serikali umeumia,EE Mungu wadogo zetu