Ingekua ww ungefanyaje hapo

AMINATA 9

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2011
Posts
2,120
Reaction score
642


1.unaingia kwako room kutoka kazini au masomoni nje ya nchi wakuta hali ka hii room kwako
2. wamkuta mkeo juu ya kifua cha mtu au mumeo juu ya kifua cha mtu
3. ikiwa ww ndio huyo mke ungejiteteaje?
4.ikiwa ww ndio huyo mgoni hapo na mke wa mtu ungefanyaje?
 

Attachments

  • 12.jpg
    14.4 KB · Views: 101
duh.....Aminata mbona hivi....?
 
Kuwa mwehu sio lazima uvue nguo hata huu ulioufanya hapa ni upumbavu tosha,ama kweli jf sasa imevamiwa mpk na machizi,mods piga ban huyu mwehu please!
 
.. nisingeanzisha hii thread, ili kuepusha usumbufu.
 
hahhahhahahhahha ..hii picha nzuri kweli
umeanza nitakuwashia mishumaa sasaivi na kinachofata ni hadi izime ndio mwisho loh! nishaomba msamaha ya nn kunikalia kooni mwana wa mwenzenu ivo loh!
 
.. nisingeanzisha hii thread, ili kuepusha usumbufu.
kama ulivoandika do something ulitakiwa ufikiri kwa upeo wako kua aminata hawezi kuafanya ivi so ...............kabla hujarukia tren kwa mbele mana utachunguliwa na dereva bure
 
Kuwa mwehu sio lazima uvue nguo hata huu ulioufanya hapa ni upumbavu tosha,ama kweli jf sasa imevamiwa mpk na machizi,mods piga ban huyu mwehu please!
una bahati sana leo niko na good mood mana...............cjui ningekujibuje hapa ..............ungesonyajeeeeeeeeeeeee
 
naomba u-edit orignal message yako tafadhali ili kupunguza usumbufu kwa wengine watakaofungua thread hii.

sorry mnoooooooooooo nimeamkia pabaya leo kuna foto niliiapload hapo ila haikutoka nishaomba msamaha i will never let u down again guys
 
kama ulivoandika do something ulitakiwa ufikiri kwa upeo wako kua aminata hawezi kuafanya ivi so ...............kabla hujarukia tren kwa mbele mana utachunguliwa na dereva bure

Aminata, halikuwa kusudio langu kukufanya uje juu,, pia nilitumia upeo wangu kukueleza kuwa nisingefanya ulichokifanya, bali ningejitahidi ili kuwapunguzia usumbufu wasomaji, kwamba umerekebisha ni jambo zuri, samahani kama maneno yangu yamekukwaza mama.. Mapendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…