Ingekuwa chuo Utopolo ka disco huku akimcheka Simba aliyefeli quiz

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Kuna matukio huwa yakitokea huwa najiuliza akili za baadhi ya binadamu zinavyoyumba.

Utakuta mtu kavaa vizuri sana ila kumbe ni yanga! Unashangazwa anavyoshangilia simba kufungwa mechi ya kirafiki,wakijifariji baada ya kutolewa klabu bingwa.Kitendo cha kutolewa nakilinganisha kama mwanachuo aliyekatishwa masomo kwa kuondolewa baada ya kufeli maarufu kama ku "disco"

Simba mechi yake ya jana ilikuwa kama quiz tu.Lakini Simba walikuwa na kila sababu ya kufurahia yanga kufungwa kwenye siku yao kutokana na mfungaji kujulikana kama "kapumbu!" Kupigwa goli na Kapumbu ni jambo litabaki kwenye kumbu kumbu siku zote.Mlimwita wenyewe
 
Mbona unaandika kama hujiamini,unajitekenya uku unacheka
 
Kwa akili hizo ukute na wewe ni mwanaume?. Eti umefikiri kabisa ndio jambo la kuandika?.
 
We dada acha kujiuza mtandaoni.Cheki user name yako...majina ya wauza k wa mtandaoni
Kwa akili hizo ukute na wewe ni mwanaume?. Eti umefikiri kabisa ndio jambo la kuandika?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…