Ingekuwa kama nchi zilizoendelea, hili swala la umeme lingetosha kabisa Rais kujiudhulu

Ingekuwa kama nchi zilizoendelea, hili swala la umeme lingetosha kabisa Rais kujiudhulu

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Umeme imekuwa kero sana hapa Tanzania kiasi biashara haziendi kama saloon, mboga kama nyama, samaki nk ambazo zinapaswa kutunzwa kwenye friji.

Sijui kwa nini Rais Bado Yuko madarakani tena naskia eti anapewa hata PhD bila aibu kabisa. Na sisi watanzania jamani tuamke maandamano siyo dhambi tuache uoga. Mendeleo hayaji kwenye sahani lazima myapiganie.
 
Umeme imekuwa kero sana hapa Tanzania kiasi biashara haziendi kama saloon, mboga kama.nyama, samaki nk ambazo zinapaswa kutunzwa kwenye friji.
Sijui kwa Nini rais Bado Yuko madarakani tena naskia eti anapewa hata PhD bila aibu kabisa.
Nasisi watanzania jamani tuamke maandamano siyo dhambi tuache uoga. Mendeleo hayaji kwenye sahani lazima myapiganie

Kuwa MTU wa kutafuta the best alternative katika maisha .

Hii nchi inasumbuliwa na mfumo ,ukiwa nje unaweza kuhisi tatizo ni rahisi Ila to be honest tatizo ni mfumo , mfumo uliopo sio rafiki.
 
Umeme imekuwa kero sana hapa Tanzania kiasi biashara haziendi kama saloon, mboga kama.nyama, samaki nk ambazo zinapaswa kutunzwa kwenye friji.
Sijui kwa Nini rais Bado Yuko madarakani tena naskia eti anapewa hata PhD bila aibu kabisa.
Nasisi watanzania jamani tuamke maandamano siyo dhambi tuache uoga. Mendeleo hayaji kwenye sahani lazima myapiganie
😂😂Aya nenda kaandamane...utajikuta mwenyewe wenzako wanafaidi huku...anaupiga mwingi
 
Subiria machawa wake waje wakupopoe bila aibu hapa, lakini kiukweli kwa yule bibi tumepigwa nyingi sana za kichwa wasije kufanya kosa la kutuletea Raisi mwingine mwanamke
 
Umeme imekuwa kero sana hapa Tanzania kiasi biashara haziendi kama saloon, mboga kama.nyama, samaki nk ambazo zinapaswa kutunzwa kwenye friji.
Sijui kwa Nini rais Bado Yuko madarakani tena naskia eti anapewa hata PhD bila aibu kabisa.
Nasisi watanzania jamani tuamke maandamano siyo dhambi tuache uoga. Mendeleo hayaji kwenye sahani lazima myapiganie
Watengeneza mageti, mafundi seremala wengi wanatumia umeme, zahanati na vituo vya afya vinachemshaje vifaa, mitambo ya uchunguzi magonjwa inafanyaje kazi? Wao wana majenereta sidhani kama wanakusikia.
 
Umeme imekuwa kero sana hapa Tanzania kiasi biashara haziendi kama saloon, mboga kama.nyama, samaki nk ambazo zinapaswa kutunzwa kwenye friji.
Sijui kwa Nini rais Bado Yuko madarakani tena naskia eti anapewa hata PhD bila aibu kabisa.
Nasisi watanzania jamani tuamke maandamano siyo dhambi tuache uoga. Mendeleo hayaji kwenye sahani lazima myapiganie
Zingatia haya
Mwenge wa uhuru
Zindiko la Taifa.

Lazima wananchi wageuzwe akili. Hakuna tunaloweza kwa sababu wakandamizwa zaidi ndo aa kwanza kufyatua risasi kuua raia wenzao wanaopambania maslahi bora ya nchi
 
Subiria machawa wake waje wakupopoe bila aibu hapa, lakini kiukweli kwa yule bibi tumepigwa nyingi sana za kichwa wasije kufanya kosa la kutuletea Raisi mwingine mwanamke
Ishu sio jinsia yake...hapo ndo mnapokosea...Kuna nchi ngapi duniani zimekuwa na viongozi wa kike na wameenda freshi..na viongozi wangapi wa kiume wamepita matatizo kibao wameleta..mjudge kwa matendo yake sio jinsia
 
Walizima hadi siku ya sherehe za xmass
 
Back
Top Bottom