Ingekuwa mama yako ndio anafanyiwa hivi ungechukua hatua gani?

Ingekuwa mama yako ndio anafanyiwa hivi ungechukua hatua gani?

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
ona hapa jamani
FB_IMG_1644128056718.jpg
 
Nimewablock na kufuta namba za ndugu zangu baada Tu ya kujua changamoto fulani za mama yangu kunung'unika wao ndio waliosababisha..

Daima usikubali Mama yako adharauliwe mbele yako.... [emoji3578][emoji736]
 
Inauma kwa kweli lakini huwezi jua kilichofanya mpaka ikafikia hapo.
 
Hii itakuwa Kenya na huyo mama nadhani ni mama muuza pombe za kienyeji!
 
Polisi kenya nao wana majanga yao..
Hakika Polisi kuingia Peponi ni kazi sana.
 
Ingekuwa ni mama yangu, huyo jamaa angejikuta kenda salimia mbinguni
 
Back
Top Bottom