Watu wengine bana...sasa kama HUTAKI..UNATAKA aendelee kuomba ili iweje?!
Kuomba omba nako kunachosha..siku ukiwa tayari mjulishe,usikae ukisubiria "NAOMBA" nyingine!!
habarini wanajf, let asume wewe ni msichana ulianza uhusiano na kijana miaka 10 iliyopita means kwanzia secondary, wakati mnaanza urafiki alikulazimisha sana mnaniii ......lakini ukakataa ukiogopa ni dhambi,mlivyokuwa wakubwa zaidi namaanisha miaka 22 na kuendelea akakukumbusha tena kunanii ukakataa, mlipofika miaka 23,24,25 akasitisha kabisa kukwambia kuhusu kudo, na bado ni wapenzi,je kunamapenzi hapo? au ni chukua chako mapema?
Naomba na mimi....
Alafu weweeee...omba omba tu, siku utakayolipishwa ndio utakoma akili!!
Watu wengine bana...sasa kama HUTAKI..UNATAKA aendelee kuomba ili iweje?!
Kuomba omba nako kunachosha..siku ukiwa tayari mjulishe,usikae ukisubiria "NAOMBA" nyingine!!
Ndio tuseme umeninyima?
Mapenzi ni kupeana, ukileta tabia zakichoyo kama ni mimi nakupotezea ubaki na ushamba wako!
Nikikupa wewe utanipa nini?!
Sasa akatae basi yaishe!!
Mtu anakataa alafu bado anataka aendelee kuombwa miaka nenda rudi.Ili iweje?!
habarini wanajf, let asume wewe ni msichana ulianza uhusiano na kijana miaka 10 iliyopita means kwanzia secondary, wakati mnaanza urafiki alikulazimisha sana mnaniii ......lakini ukakataa ukiogopa ni dhambi,mlivyokuwa wakubwa zaidi namaanisha miaka 22 na kuendelea akakukumbusha tena kunanii ukakataa, mlipofika miaka 23,24,25 akasitisha kabisa kukwambia kuhusu kudo, na bado ni wapenzi,je kunamapenzi hapo? au ni chukua chako mapema?
Naomba umpende na umkumbuke babygal ..umemtupa kweli!!Nitakupa utakachoomba.
lizzy vp ww sema kama kuna mapenzi hapo au la ! cjaona jibu lako hasa ninini!