Ingekuwa vipi kama mkeo naye akakugeuzia kibao

interesting truth!!! hata baadhi ya majibu tusingetoa kama tungekua tunajulikana...

Lakini kuna baadhi ya watu wanafanya na wanaonekana na bado imani iko palepale... hao je tutawaweka kundi gani???

Ukweli ni kwamba tunaishi kuendeleza tuliyoyakuta, na infidelity kwa mwanaume iko hivyo... tatizo kubwa ni kwamba kwa sasa wanawake wameamua kweli-kweli kufanya tunayoyafanya, tena hasa working class (type ya da sophy), na wanatuchapa balaa

siku hizi unakutana na binti yeye ndio anasema "yule kama natamani kweli nim***... very interesting

so, wakati tunasema ingekua vipi mwanamke akibalisha kibaso, si ajabu we can just say... how do you feel now that women have turned the tables?
 

Invisible,
Please do the needful..badilisha title isomeke kama alivyopendekeza Acid hapo kwenye red.
 
Je, Mwanaume anayetoka nje ya ndoa na mke wa mtu au mpenzi wa mtu mwingine anajisikia vipi pale mkewe akichukuliwa na mwanaume mwingine?

Wanaumeeeee! Hamuoni nyie ndio wa kwanza kuumizana wenyewe kwa wenyewe?..Mnalalamika nini wakati watendwa ndio watendaji? Sasa mnamlalamikia nani?
 

WoS, umewahi kusikia termilogy ya "Swingers"?
 
WoS, umewahi kusikia termilogy ya "Swingers"?
Ukiacha maadili na uadilifu, Swingers kwa waswahili/ wabongo na wengineo haiwezi kuvumilika japo they are doing it unknowingly all the time.God forbid, God forgive!
 
Invisible,
Please do the needful..badilisha title isomeke kama alivyopendekeza Acid hapo kwenye red.
yees indeed, this is exactly what is happening nowadays

wanawake wanainfidelitize kama wanaume tu aisee

sijui ndio mwisho umefika au ni new world order?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…