Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
bora umejitambua,sio Lazima kujua kila kitu,halafu usinge comment ingekuwa poa zaidi.Huu uzi nimetoka kapa. Sijaelewa kabisa kinachoendelea
mainstream ni nini bukoba boy?Bongo flava ya kina Kwanzanians and co haikua mainstream ( for all) kama bongo flava ya sahivi walioanzisha akina Jay na Sugu.
Ni kwasababu ulikuwa haujakubalika na jamii (mziki wa kihuni), muziki wa dansi na ile ya kongo ndiyo ilikuwa inakubalika hata redioni haikupigwa.Bongo flava ya kina Kwanzanians and co haikua mainstream ( for all) kama bongo flava ya sahivi walioanzisha akina Jay na Sugu.
Taxido,dabo kisoda na gold_fishMkuu tuwaache mabraza wadiscuss.Kipindi hicho mi nafuga zangu samaki (black mo,gapi,Mkasi,zebra.....).Nilikuwa dogo Sana.