Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebwana ukimwi it takes time mpaka udedi ila hii kitu 14 days utapata mrejesho- Mbona nguruwe ana magonjwa chungu nzima anaambukiza ila wanamla tu. Wameshamjulia
- Ukimwi ni hatari na unaambukizwa kwa kujaamiana mkuu, umeona mijitu imeacha bwashee?
😂 😂 😂 😂 😂utapata mrejesho
Ingekuwa vipi magufuli angekuwa waziri mkuu ?Ingekuwa vp kama mbuzi katoliki angeambukiza COVID-19 je waliaji wa huyu mnyama mngendelea kula Au ingekuwa inaambukizwa kwa njia ya kujamiiana je wazinifu wangeendelea kizini?
Take care COVID-19 kills