Ebwana ukimwi it takes time mpaka udedi ila hii kitu 14 days utapata mrejesho- Mbona nguruwe ana magonjwa chungu nzima anaambukiza ila wanamla tu. Wameshamjulia
- Ukimwi ni hatari na unaambukizwa kwa kujaamiana mkuu, umeona mijitu imeacha bwashee?
π π π π πutapata mrejesho
Ingekuwa vipi magufuli angekuwa waziri mkuu ?Ingekuwa vp kama mbuzi katoliki angeambukiza COVID-19 je waliaji wa huyu mnyama mngendelea kula Au ingekuwa inaambukizwa kwa njia ya kujamiiana je wazinifu wangeendelea kizini?
Take care COVID-19 kills