chizcom JF-Expert Member Joined Jul 31, 2016 Posts 8,680 Reaction score 18,035 Dec 24, 2022 #1 Cheti cha ndoa unapewa ijalishi umesoma,umefaulu wala nini ! kesi za wanandoa zimekuwa nyingi sana. watu wanapoingia kwenye ndoa makucha yao uwanza kujionesha,tabia na kila mmoja kutaka akubari uzaifu wake.
Cheti cha ndoa unapewa ijalishi umesoma,umefaulu wala nini ! kesi za wanandoa zimekuwa nyingi sana. watu wanapoingia kwenye ndoa makucha yao uwanza kujionesha,tabia na kila mmoja kutaka akubari uzaifu wake.
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 50,587 Reaction score 71,492 Dec 24, 2022 #2 Wangekuwa wanatoa mkishaishi miaka 25 😂😂
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Dec 24, 2022 #3 chizcom said: Cheti cha ndoa unapewa ijalishi umesoma,umefaulu wala nini ! kesi za wanandoa zimekuwa nyingi sana. watu wanapoingia kwenye ndoa makucha yao uwanza kujionesha,tabia na kila mmoja kutaka akubari uzaifu wake. View attachment 2456647 Click to expand... Mtihani wa kwanza wa ndoa ni kitanda ndio maana cheti hutolewa in advance
chizcom said: Cheti cha ndoa unapewa ijalishi umesoma,umefaulu wala nini ! kesi za wanandoa zimekuwa nyingi sana. watu wanapoingia kwenye ndoa makucha yao uwanza kujionesha,tabia na kila mmoja kutaka akubari uzaifu wake. View attachment 2456647 Click to expand... Mtihani wa kwanza wa ndoa ni kitanda ndio maana cheti hutolewa in advance