Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
Habari zenu JF members na wale watumiaji wa kawaida wa Wavuti hii.
Baada ya kuaga mwaka wa 2017 kwa furaha na wengine wakiwa na Frustration kibao pamoja na Stress baada ya mambo yao/yetu kwenda ndivyo sivyo (maisha hayana budi kuendelea)
Tumshukuru Mungu kuingia mwaka mpya wa 2018.
Tumshukuru pia Jalali (Muweza wa yote) kumuwezesha C.E.O M.Melo kwa Moyo wake wa ujasiri (pamoja na magumu anayo pitia) kutupa Jukwaa ambalo humu tunakuwa huru kushauri, kukosoa, kutania, kupongeza mwisho kabisa kutoa Povu (pale unapo shindwa kujizuia) pongezi kwa Ndugu yetu Melo, endelea kubeba Dhamana juu yetu.
Kama binaadamu, kuna wakati tunahitaji kufuta kumbukumbu Mbaya na kusahau, ili kuweza kuanza Maisha mapya na yule alie kukosea.
Kuna kumbukumbu nyingi katika Wavuti/Seva ya JF (Nzuri na Mbaya)
Hizi zinabaki kama kumbukumbu yaweza kuwa kwa watoto wetu (vizazi na vizazi)
Humu kuna chungu na tamu.
Chafu na safi.
Kuna Magonjwa na tiba zake pia.
Najaribu kuwaza, ingekuwaje..! Ni furaha ama majonzi kiasi gani (inge/yange wapata baadhi) kama mtandao huu wa JF ungefuta kumbukumbu zote katika Server yake na kufungua ukurasa mpya.
Ni jambo linalowezekana, pia ni jambo linalo hitaji Ukichaa katika maamuzi.
Heri ya Mwaka mpya.
Baada ya kuaga mwaka wa 2017 kwa furaha na wengine wakiwa na Frustration kibao pamoja na Stress baada ya mambo yao/yetu kwenda ndivyo sivyo (maisha hayana budi kuendelea)
Tumshukuru Mungu kuingia mwaka mpya wa 2018.
Tumshukuru pia Jalali (Muweza wa yote) kumuwezesha C.E.O M.Melo kwa Moyo wake wa ujasiri (pamoja na magumu anayo pitia) kutupa Jukwaa ambalo humu tunakuwa huru kushauri, kukosoa, kutania, kupongeza mwisho kabisa kutoa Povu (pale unapo shindwa kujizuia) pongezi kwa Ndugu yetu Melo, endelea kubeba Dhamana juu yetu.
Kama binaadamu, kuna wakati tunahitaji kufuta kumbukumbu Mbaya na kusahau, ili kuweza kuanza Maisha mapya na yule alie kukosea.
Kuna kumbukumbu nyingi katika Wavuti/Seva ya JF (Nzuri na Mbaya)
Hizi zinabaki kama kumbukumbu yaweza kuwa kwa watoto wetu (vizazi na vizazi)
Humu kuna chungu na tamu.
Chafu na safi.
Kuna Magonjwa na tiba zake pia.
Najaribu kuwaza, ingekuwaje..! Ni furaha ama majonzi kiasi gani (inge/yange wapata baadhi) kama mtandao huu wa JF ungefuta kumbukumbu zote katika Server yake na kufungua ukurasa mpya.
Ni jambo linalowezekana, pia ni jambo linalo hitaji Ukichaa katika maamuzi.
Heri ya Mwaka mpya.