Ingelikuwa wewe utafanyaje!!!!


Kwahiyo mwanamke yeyote atakeyevutiwa nawe hapo ofisini...........akija hutamkatalia ili ushirikiano wa kazi uwepo?

Acha sababu za ajabu..................halafu wewe unaonekana kumtamani tangu siku nyingi..............acha kutafuta matatizo,mwambie hapana!
 

Mawazo mengine nimeyakataa na mengine nimeyakubali. Wazo nalokubaliana nalo ni la kuachana naye kabisa ila vipi nimuambie ndio kizuizi . Mjadala wangu ni vp nimuambie akanielewa yakaishia kama ni pepo mbaya amepita baina yetu.
 

Ballerina,

Kuniambia kuwa nisimsifu mwanamke alivyo ni ngumu kama mwanaume yeyote rijali mwanamke mzuri akipita mbele yake atavutiwa naye tu. Mbona akina mama nyie humsifu mwanaume anayepita mbele yenu sisi kwanini tusimsifu mwanamke? Cha msingi ni kushinda majaribu na unaposema namtamani sio kweli najitahidi sana kusema na moyo wangu na kumshinda shetani asinipoteze.
 
hapo kwenye red-watoto wanakujaga kuleta shida sana pindi wanapohitaji kuwajuwa wazazi/mzazi wao-wanaweza kumsumbua huyo mama mtu hadi ajute kwa maamuzi aliyoyafanya-cha kufanya-as long umeoa-ni bora kuachana nae
 
Mawazo mengine nimeyakataa na mengine nimeyakubali. Wazo nalokubaliana nalo ni la kuachana naye kabisa ila vipi nimuambie ndio kizuizi . Mjadala wangu ni vp nimuambie akanielewa yakaishia kama ni pepo mbaya amepita baina yetu.
Ohk hapo nimekupata kiukweli ninakupa hongera kwa uwamuzi huo. njia pekee ya kumkwepa ni lazima umuhusishe mungu so funga siku3 then katika kila siku unapo fungua mwambie mungu akuepushe nae naimani utafanikiwa kwani ww dini gani? kama muslim. soma ikhlas 3 then mwambie kwauwezo wake mungu atakuelewa unacho mwambia na hatokuwa na chuki na wewe
 
Kaka mimi naona usithubutu kumsaliti mkeo maana cku akijua unalo na c kweli hatokuja kukugasi cku za usoni na it seems anatafuta mahala popote regardless of what will hapen next so the best thing u must tell her frankly you wont do that
 
Naona kama huwezi kum-face na kumwambia hutaki. Kama kweli unaipenda ndoa yako, tafuta cheti feki cha HIV+ ukishakipata, mwambie ungependa kuwa naye lakini ndo hivyo tena hauko salama, akitaka ushahidi mwonyeshe!
 

Sasa kinachosababisha ushindwe kusema ni kipi?.....................................................
Mwambie umejadili na mkeo kwa kuwa mbegu ulizonazo ni za familia (zako na mkeo)...................lakini mkeo kakataa........na kama mkeo angekuwa radhi..............we usingekuwa na pingamizi.

Na umuulize..............yeye angekuwa na mume.............................angekubali kutendwa hayo?..............................
Mbona hao wanaomcheat kawakimbia.................si angeomba mbegu kwao.................kama shida ni mbegu tu????

Utaingia mtegoni muda si mrefu............................chukua tahadhari.
 
Mkuu jambo hili lilinitokea mimi na liliniletea madhara makubwa utaipata hapahapa MMU thread yake kwa jina la Jambo limezua jambo,naomba uisome kwanza kabla ya kuamua utafanya nini.
 
huko sa hakuna sperm bank kwenye hyo hosptl? Mpaka atake zako?

Hili nalo neno lakini mie sijui sababu zake za kutaka sperms zangu na wala sitaki kujua kwani nakaribisha mjadala nisioutaka bora nisifahamu kabisa.
 

Ballerina,

Usijali ndugu yangu nishaandika barua pepe kumjibu itashindikana hilo ombi lake nasubiri kesho akiingia ofisini atakutana nayo au pengine usiku huu ameshaisoma. Nasubiria reaction yake itakuwaje kuanzia kesho.
 
Mkuu jambo hili lilinitokea mimi na liliniletea madhara makubwa utaipata hapahapa MMU thread yake kwa jina la Jambo limezua jambo,naomba uisome kwanza kabla ya kuamua utafanya nini.

Mkuu,

Nishafanya maamuzi ya kutuma barua pepe kukataa ombi lake, ila nitasoma kupata maujuzi zaidi. Nawashukuruni sana kwa ushauri wenu. Alamsiki!
 
sasa wewe unataka uambiweje?yaani nikuonavyo mimi unataka uambiwe kuwa mkubalie ndo utafurahi! unaonekana maadili huna kwa nini unaogopa kumkatalia kisa teamwork,hapo hapo eti unampenda mkeo ahghaa.... kwani hiyo mimba anayotaka ina uhusiano gani na kazi?mkienda kula mwambie ukweli sitaki mpango wako wa mbegu zangu coz ni za mke wangu hahahaha ....... then mwambie lakini teamwork iko palepale la sivyo ntakutangaza kwa wafanyakazi wote,utaona atakuwa dada yako kabisaaa.....ila kama ulikuwa unataka JF ikupe go ahead umkubalie... mi sijui tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…