Ingependeza kama wanawake wakijibu swali hili

mkuu tatizo mada zako nyingine full utata wakati we unajua jf unafiki pia upo watu hatuwi wakweli kwa nafsi zetu.Mfano mi naamini humu jf wadada kibao wanatoa tigo,lakini nani atakiri pamoja na kwamba kwa sasa it is a normal thing wala sio issue?
 
Awasaidie ndugu zangu mimi kufikia malengo yao ya maisha yeye kawa JEHOVA.

Tena hiyo itakuwa sababu nzuri ya Divorce,kwani ni moja ya sababu chache zinazo halalisha ndoa kutenguliwa kwa wakristo,sijui kwa waislam.

Divorce? Umeambiwa siyo mkewe huyo!Huyu mdada anaishi na mkaka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…