Gari inaweza kuwa namba D afu kwa hiyo bei bado unaweza ukawa umepigwa... Inategemea na hali ya gari mzee usikariri namba. Zipo namba B zimepaki tu au ruti masaki ruti m city na ikawa imenyooka kuliko hizo D
Niunganishe katika hayo ma-Group Mkuu 0754754593Ninalo group mkuu, Pia ninayo magroup ya magari mengi tu, magari yapo mengi karibu
Ningekuwa na demu , ningenunua hiii...😊Land Cruiser Prado for sell
Year... 2013
Engine... 1kd
cc.. 2980
Fuel.. Diesel
*Price... 135M*
Picha zaidi nichek kwa 0713415537View attachment 1216954View attachment 1216953
Unashangaa unakuta ile Rav 4 ya mwanzo ina miaka 5 ipo Tanzania..lakini inauzwa 13,000,000 ambayo ni $5600 yani bei ya Japan kabisa hadi unashangaa hawa madalali matatizo yao ni yepi..
Afu unakuta imetumika miaka 5 bongo!!Ni ufala kununua gari used Tz kwa tofauti ya milioni 1 hadi 3 kuagiza
Watanzania ndio maana hatuendelei, mtu anaenda japan kulinunua gari kwa milioni 3 analileta bongo analiuza milioni 10 mpaka 15...hii ni dhuluma kabisa..mleta mada kama na wewe uko hivyo acha..
Mashine imenyooka
Make: TOYOTA
Model: RAV 4
Fuel: PETROL
Transmition: AUTOMATIC
Colour: GREEN
Year: 1998
Engine Type: 3S
Cc: 1998
Seating Capacity: 5 SEATER
Description: 2 AIRBAGS, SUNROOF, FRONT SPOILER, RADIO, ALL NEW TYRES, WELL MAINTAINED AND CLEAN AS SEEN
Price: 13,000,000/=
***NEGOTIABLE***
0713515537
View attachment 1205451View attachment 1205452View attachment 1205453View attachment 1205454View attachment 1205455
Jaman wanazengo vsta kaliiiiiiii
Engine 3S
Cc1990
Full ac
Imerudiwa rangi smart
Haigongi popote
Safar popote
Bei Tshs 3M
Call 0713415537View attachment 1208816View attachment 1208817View attachment 1208818View attachment 1208819
Ninalo group mkuu, Pia ninayo magroup ya magari mengi tu, magari yapo mengi karibu
Carina SI imenyooka sana
Full Ace
Body in good condition
Haijarudiwa rangi
New tyres
Call 0713415537
Kama una gari unauza fika ofisini kwetu mwenge au wasiliana namiView attachment 1209652View attachment 1209653
Watanzania ndio maana hatuendelei, mtu anaenda japan kulinunua gari kwa milioni 3 analileta bongo analiuza milioni 10 mpaka 15...hii ni dhuluma kabisa..mleta mada kama na wewe uko hivyo acha..
Kwa hiyo ulitaka kodi akulipie then akuuzie kwa mil 3.5 hapa wa kulaumiwa ni serikali ina kodi kubwa mno kwenye importation ya magari.
Sio tu ufala,Ni ufala kununua gari used Tz kwa tofauti ya milioni 1 hadi 3 kuagiza