House4Sale ingia hapa ujipatie nyumba ipo MIKWAMBE

House4Sale ingia hapa ujipatie nyumba ipo MIKWAMBE

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,921
Habari.

Nyumba inapatikana Mikwambe-Kigamboni DSM, karibu na site ya mh. Ndugai (kitu maarufu).
Eneo limepimwa na ina hati tayari. ina eneo la skwea mita 801,
Nyumba ina vyumba viwili na master bed, sebule, dining na store.
3fceeaa81454dc5ba69e50e0be1513c0.jpg

ac62e0351f2a9ed6dd14c431ae20ffbb.jpg

25d35fe90b4f8dc6a3ff5b78d28eb01a.jpg

86419cf608b7a6b6f2ab2faf1aa6b824.jpg

aa9d05956abd02a4f6fb0178b8c9fddd.jpg


Wiring ndani tayari, umeme pia upo jirani na nyumba
99bbaf0b49814145d43475d4b13604b3.jpg


Bei ni 70M (milioni sabini)

Kwa mawasiliano check na namba ‭0711 352 361‬

Asante.
 
Kwa hiyo ulivyosema ipo karibu na ndungai ili iweje

Kama utahitaji kuiona physically. Huo mtaa unajulikana hivyo ndio maana nimefafanulia kwenye mabano, nilijua mamluki hawawezi kosekana
 
Zimeshuka ee Kuipata hiyo ml70 atajamba cheche?

Hahah mkuu hapana bwana, kitu tayari hapo ni kuingia na godoro tu kulala kila kitu kipo okay.

Kuliko kununuavile vijumba vya nssf bora uje hapo
 
Kuwa tu karibu na huyo kidudu mtu cwezi kununua hata uniroge
 
Back
Top Bottom