Ingia kwenye ulimwengu wa roho kisayansi (Spirit Science)

Ingia kwenye ulimwengu wa roho kisayansi (Spirit Science)

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Nawasalimia wote wana JF,

Karibu tena katika mwendelezo wa Sayansi ya kiroho. Leo nitaongelea jinsi gani sauti inaweza ikakusaidia kujikuta unaongea na nafsi yako au kukurahisishia kufanya Lucid Dreaming, Astral Projection (Meditation).

Watu wengi sana wamekuwa wanaogopa sana kufanya meditation au inakuwa ngumu sana kwao kujua namna ya kufanya. Leo nitaongelea namna gani ya kuingia katika ulimwengu wa roho kwa kutumia sauti.

Kwanza kabisa masikio ya mwanadamu yana uwezo wa kusikia kuanzia 20 -20,000 hz. Tafauti na hapo sikio haliwezi kupitisha sauti kuelekea kwenye ubongo. Mwanadamu hawezi kusikia frequency chini ya 20.

Kunahatua moja ya wanasayansi na wagunduzi waligundua miaka ya nyuma zaidi (Binaural beats) imekuwa ndio msaada mkubwa sana kwa mwanadamu kuweza kuuambia ubongo usikie frequency chini ya 20.

Hatua ya kufanya hivyo ni rahisi tu ni kwamba unakuwa na frequency mbili zenye tofauti ya frequency chini ya 20. Mfano 300hz na 310hz sauti moja inapigwa kwenye siko la kushoto na sauti nyingine sikio la kulia.

Hapo itasababisha ubongo utengeneze friquency yake kwa sababu utashindwa kutafri. Utatengeneza frequency ya 10hz ambayo sikio haliwezi kupitisha.

Wataalamu wanasema frequency zinazotumika ni lazima ziwe chini ya 1000hz. Na baada ya ubongo kutafsri ukakuwa na uwezo wa kuwasiliana na consciousness yako.

Mara nyingi sauti frequency tofauti katika masikio hutumiwa natechnologia ya stereo. Katika kila utofauti wa hizo frequency kuna matumizi yake. Nitaweka chart hapa na utaangalia namna gani itaweza kukusaidia:

>40 Hz Gamma: Higher mental activity, including perception, problem solving, fear, and consciousness- Haya ni matumizi yake.

13–39 Hz Beta waves: Active, busy or anxious thinking and active concentration, arousal, cognition, and or paranoia

7–13 Hz Alpha waves: Relaxation (while awake), pre-sleep and pre-wake drowsiness, REM sleep, Dreams

8–12 Hz Mu waves Mu rhythm, Sensorimotor rhythm

4–7 Hz Theta waves Deep meditation/relaxation, NREM sleep

< 4 Hz Delta waves Deep dreamless sleep, loss of body awareness


Unaweza ukawa unasikiliza mziki ambao ndani yake kuna frequency tofauti kwenye mziki huo kwenye sipika tofauti.
Hii inafanya kazi kama mtu anasikiliza mziki huo kwa kutumia spika au headphone.

Mara nyingi Alpha huwa inatumika sana kwa wale wanaotaka kufanya Lucid dreaming. Jaribu kutafuta mziki au mlio wenye frequencies zinazotofautiana katika kila sikio.

Jaribu kufanya hivyo kwa mda wa siku kuanzia saba na kuendelea utaona tofauti. Unakuwa na uwezo wa kuanza ku access nafsi yako na kuanza kujua vitu vingi.

Hakika kwa kufanya hivyo utajua mengi

Karibuni

aretasludovickchaUkucha
 
harafu hiyo avator yako siwezi kukuamini maana waongo sana nyinyi
 
harafu hiyo avator yako siwezi kukuamini maana waongo sana nyinyi
Sayansi inakuwa proved kwa vitendo siyo kisiasa. Ni vyema kukubali kutofautiana kuliko kukataa kutofautiana.
 
Nawaza kimya ungeweza walau kutuwekea waves zinaozeendana na hili somo. Wasiwasi wangu sijui kama mimi kwa mfano sijajua nitumie wimbo gani wenye 7-13 Alpha waves. Naomba uwepo wako!
 
kwa wale ambao wanatumia sikio moja, je ndio hawawezi kufanya hyo lucid?
Kuna watu utakuta sikio la kushoto ama kulia halifanyi kazi
 
kwa wale ambao wanatumia sikio moja, je ndio hawawezi kufanya hyo lucid?
Kuna watu utakuta sikio la kushoto ama kulia halifanyi kazi
Kwa kweli hapo kwa kutumia njia hii siwezi kuwa na jibu. Kwa kuwa tunaendelea na mada hii ya sayansi ya kiroho nitaleta topic zinazoendana na hili. lakini kwa leo ninaongelea namna gani sauti mbili tofauti zinavyoweza kusaidia.
 
Hii siyo science mkuu.Hii tunaiita Pseudo-science au Metaphysics
 
Hii siyo science mkuu.Hii tunaiita Pseudo-science au Metaphysics
Dah sijui unaongea nini hapa maana unaongea sio science na wakati huo huo unasema ni sayansi. Hebu isome vizuri sentence yako.
 
OK. Sawa. umeleza pseudo science lakini mimi hapa sijaongelea hicho. Metaphysics ni tofauti na ulichokiongelea. Tafadhali ndugu kama hujui kitu ni bora ukajifunza au ukauliza ukaelekezwa. Kuna science inayoitwa dark science unaijua(Cosmology) unaijua?

Watu wamefanya research na kuona namna gani frequency chini ya 20 zinavyoweza kusaidia. Hujui kuwa sauti ndio inayotumika kwenye vifaa vya ultrasound? frequency zaidi ya 20Khz ndio inatumika na zaidi sana kuna ultrasonic matumizi yake ni mengi tu.

Ndugu jifunze kwanza au uulize uambiwe. Hebu jifunze kwanza kuhusu Binaural beats. Tafuta kwenye mitandao kisha uje hapa na evidences zako.
 
Nawasalimia wote wana JF,

Karibu tena katika mwendelezo wa Sayansi ya kiroho. Leo nitaongelea jinsi gani sauti inaweza ikakusaidia kujikuta unaongea na nafsi yako au kukurahisishia kufanya Lucid Dreaming, Astral Projection (Meditation).

Watu wengi sana wamekuwa wanaogopa sana kufanya meditation au inakuwa ngumu sana kwao kujua namna ya kufanya. Leo nitaongelea namna gani ya kuingia katika ulimwengu wa roho kwa kutumia sauti.

Kwanza kabisa masikio ya mwanadamu yana uwezo wa kusikia kuanzia 20 -20,000 hz. Tafauti na hapo sikio haliwezi kupitisha sauti kuelekea kwenye ubongo. Mwanadamu hawezi kusikia frequency chini ya 20.

Kunahatua moja ya wanasayansi na wagunduzi waligundua miaka ya nyuma zaidi (Binaural beats) imekuwa ndio msaada mkubwa sana kwa mwanadamu kuweza kuuambia ubongo usikie frequency chini ya 20.

Hatua ya kufanya hivyo ni rahisi tu ni kwamba unakuwa na frequency mbili zenye tofauti ya frequency chini ya 20. Mfano 300hz na 310hz sauti moja inapigwa kwenye siko la kushoto na sauti nyingine sikio la kulia.

Hapo itasababisha ubongo utengeneze friquency yake kwa sababu utashindwa kutafri. Utatengeneza frequency ya 10hz ambayo sikio haliwezi kupitisha.

Wataalamu wanasema frequency zinazotumika ni lazima ziwe chini ya 1000hz. Na baada ya ubongo kutafsri ukakuwa na uwezo wa kuwasiliana na consciousness yako.

Mara nyingi sauti frequency tofauti katika masikio hutumiwa natechnologia ya stereo. Katika kila utofauti wa hizo frequency kuna matumizi yake. Nitaweka chart hapa na utaangalia namna gani itaweza kukusaidia:

>40 Hz Gamma: Higher mental activity, including perception, problem solving, fear, and consciousness- Haya ni matumizi yake.

13&#8211;39 Hz Beta waves: Active, busy or anxious thinking and active concentration, arousal, cognition, and or paranoia

7&#8211;13 Hz Alpha waves: Relaxation (while awake), pre-sleep and pre-wake drowsiness, REM sleep, Dreams

8&#8211;12 Hz Mu waves Mu rhythm, Sensorimotor rhythm

4&#8211;7 Hz Theta waves Deep meditation/relaxation, NREM sleep

< 4 Hz Delta waves Deep dreamless sleep, loss of body awareness


Unaweza ukawa unasikiliza mziki ambao ndani yake kuna frequency tofauti kwenye mziki huo kwenye sipika tofauti.
Hii inafanya kazi kama mtu anasikiliza mziki huo kwa kutumia spika au headphone.

Mara nyingi Alpha huwa inatumika sana kwa wale wanaotaka kufanya Lucid dreaming. Jaribu kutafuta mziki au mlio wenye frequencies zinazotofautiana katika kila sikio.

Jaribu kufanya hivyo kwa mda wa siku kuanzia saba na kuendelea utaona tofauti. Unakuwa na uwezo wa kuanza ku access nafsi yako na kuanza kujua vitu vingi.

Hakika kwa kufanya hivyo utajua mengi

Karibuni

aretasludovickchaUkucha
Sisi wengine ni wapumbavu na malofa hatuwezi kuelewa hii kitu..
 
Kwa yeyote anayetaka music yenye hizo frequencies check hapa. kwaajili ya Lucid Dreaming


ahsanteee! hapo umenirahisishia kwan nlishaanza kuona somo complecated. maswala ya frequences, cjui GHZ hata sijayataftia siku Bado njifunze vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom