Ingunial henia

Yda

New Member
Joined
Feb 27, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Inasemakana kuwa mtu akifanyiwa operation ya kuondoa INGUNIAL HENIA, nguvu za kiume hupungua je ni kweli?
 
Nguvu za kiume kwa maana ya uwezo wa kuirect hazipungui hata kidogo, isipokuwa kwa bahati mbaya, ile mirija inayopitisha shahawa inaweza kukatwa kwa hiyo ikasababisha ugumba kwa mwanaume, hasa kama imekatwa yote. Mfumo wa erection na sperm production na transport haiingiliani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…