valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
Wakuu umofia kwenuu!
Rais wa Yanga na Director wa Simba wameitwa CAF kuuhudhuria mkutano wa kuanzishwa chama cha vilabu Africa utakaofanyika Leo.
My take: kwa nini asiende Mangungu ambaye ndie chairman?
Rais wa Yanga na Director wa Simba wameitwa CAF kuuhudhuria mkutano wa kuanzishwa chama cha vilabu Africa utakaofanyika Leo.
My take: kwa nini asiende Mangungu ambaye ndie chairman?