Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,357
- 1,596
Quran inasema injili na torati ni neno la Mungu na inakumbusha kuwa hakuna mwanadamu anawezakubadili neno la Mungu.
Unaposema Bibliia iliaribiwa unakuwa kinyume na Quran, maana kwa mujibu wa Quran huwezi kuaribu neno la Mungu.
Mungu aliumba mwanadamu kwa mfano wake, inaposema Mungu afanani na kitu chochote utakuwa kinyume na Qurana maana Mungu ana mdomo, ana miguu, ana Mikono.
Ni hayo tu
Unaposema Bibliia iliaribiwa unakuwa kinyume na Quran, maana kwa mujibu wa Quran huwezi kuaribu neno la Mungu.
Mungu aliumba mwanadamu kwa mfano wake, inaposema Mungu afanani na kitu chochote utakuwa kinyume na Qurana maana Mungu ana mdomo, ana miguu, ana Mikono.
Ni hayo tu