Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Gheto 1 mstari wa 1 mpaka wa 9,
Nae msela yeyote atakaekuja gheto bila taarifa Nami nawaasa mpeni maji tu ya kunywa huku nyinyi mkijimomosoa Kula nyama na wali uliobaki jana yake usiku, kwa maana ukimuhudumia kwa matakwa yake basi hatoacha kuja gheto kwako ambako atapafanya ni pa kuponea,
Gheto 2 mstari wa 5 mpaka 7,
Nami nawaambia baharia yeyote anaekuja na demu mkali huwa hanyimwi gheto, mnyimeni chakula na malazi lakini akija gheto na demu mpeni na box la Condom.
Gheto 3 mstari 7 mpaka 10,
Na awaye yote ukishachakata papuchi yako iliyonona usiache ipite bila majirani wanaokuonea wivu kujua,
Waonyesheni watu wote kwamba wewe uuh lijari, wafumbie macho wasiotaka kukupa tamu zao nami nawaambia ukishajifanyia hayo yote lazima utauona ufalme ule uliotukuka,
Endeleza hii injili ya Gheto____________!
Cc Zero Iq
Nae msela yeyote atakaekuja gheto bila taarifa Nami nawaasa mpeni maji tu ya kunywa huku nyinyi mkijimomosoa Kula nyama na wali uliobaki jana yake usiku, kwa maana ukimuhudumia kwa matakwa yake basi hatoacha kuja gheto kwako ambako atapafanya ni pa kuponea,
Gheto 2 mstari wa 5 mpaka 7,
Nami nawaambia baharia yeyote anaekuja na demu mkali huwa hanyimwi gheto, mnyimeni chakula na malazi lakini akija gheto na demu mpeni na box la Condom.
Gheto 3 mstari 7 mpaka 10,
Na awaye yote ukishachakata papuchi yako iliyonona usiache ipite bila majirani wanaokuonea wivu kujua,
Waonyesheni watu wote kwamba wewe uuh lijari, wafumbie macho wasiotaka kukupa tamu zao nami nawaambia ukishajifanyia hayo yote lazima utauona ufalme ule uliotukuka,
Endeleza hii injili ya Gheto____________!
Cc Zero Iq