Injini kuchemka sana (Nissan Vanette)

Injini kuchemka sana (Nissan Vanette)

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Naomba kujua nini kimesababisha gari yangu aina tajwa hapo juu imekuwa na tatizo la injini kutoa joto kali kias cha bati lote linalozunguka injini kuchemka sana hata kuwafanya abiria kushindwa kuvumilia, kifupi gari haichemshi isipokuwa inatoa joto kali sana, je tatizo hapo litakuwa ni nini?
 
Dah.. Pole sana Mkuu, nadhani hawa Nissan wanashida kwenye cooling system ya gari zao nyingi sana, yaani ni tatizo common sana!

Ningesema kitu ila sasa uliposisitiza kwamba gari inajotoka sana ila haichemshi sijaelewa.... Kwani gauge ya temperature inafika mpaka ngapi?
 
Naomba kujua nini kimesababisha gari yangu aina tajwa hapo juu imekuwa na tatizo la injini kutoa joto kali kias cha bati lote linalozunguka injini kuchemka sana hata kuwafanya abiria kushindwa kuvumilia, kifupi gari haichemshi isipokuwa inatoa joto kali sana, je tatizo hapo litakuwa ni nini?
Swala la gari kuchemsaha n common sana kwa hawa Nissan. Kwahyo hapo kuna parts lazima uzicheck au ubadilishe kama ni mbovu. 1 Water pump - Unatakiwa ujue kama Water pump ya Gari yako inafanya kaz vzur au uwezo umepungua,Kujua kama water pump imakufa inatakiwa uchunguze kwenye shingo ya pulley yake au upande wa chini kama leakage yoyote ya maji kama ukikuta jua Water pump imekufa. 2 Thermostat Angalia hii kitu kama inafanya kaz vzur. Kujaribu hii unatakiwa unaitoa Thermostat na unawasha gari bla ya Thermostat unaangalia kama Temperature gauge itapanda au la. Icpo panda bas jua Thermostat imekufa. 3 Cylinder head Gasket angalia kama ina leakage yoyote. Kama hipo pia badilisha maana hii pia inachangia sana gari kuchemsha. 4a. Belt Tension anagalia kama Engine belt kama zpo kwenye proper Tension. 4b. Cooling fan/Feni inatakiwa iangaliwe kama inatoa Upepo vzur pia iangaliwe kama ina run at proper Rpm. 5 Rediator/Rejetor hakikisha unaiosha kwa kutumia jet pressure wash kwa pressure ndogo sana hii unaoaha kwa nje. Hii inasaidia sana kama kuna uchafu kwenye fins uwez kutoka. 6 Tumia water cooler badala ya Maji ya kawaida. Maji ya kawaida yanatengeneza kutu/Rust inayopelekea Radiator kuziba njia zake. Ukifanikiwa Lete mrejesho/Feedback for better Future
 
Naomba kujua nini kimesababisha gari yangu aina tajwa hapo juu imekuwa na tatizo la injini kutoa joto kali kias cha bati lote linalozunguka injini kuchemka sana hata kuwafanya abiria kushindwa kuvumilia, kifupi gari haichemshi isipokuwa inatoa joto kali sana, je tatizo hapo litakuwa ni nini?
Sijui kama nitakuwa nimekuelewa tofauti au laa..kwa maelezo yako ni kiwa gari haichemshi ina maana ipo kwenye normal lkn gari inapata sana joto ina maana bati la gari..
Je hiyo gari yako uliagiza mwenyewe au umenunua kwa mtu??

Je hilo tatizo limeanza gafla?? Au kuna kitu ulikwenda tengeneza gereji??.

All in all nje na ndani ya gari huwa kuna kuwa kitambaa flani/cover la kuweza kuzuia joto la engine kuingia ndani ya gari au kwenye boneti hata ukiangalia mbele ya gari ukifungua boneti kwa juu huwa kuna kuwa na caperti flan lenye kitu kama fiber ndani yake ni kwaajili ya kuzuia joto..

Au ndani ya gari pia huwa kuna kuwa na carpet pia ya kuzuia joto.
Chini ya gari linapopita exhaust huwa kuna kuwa pia na bati lakuzuia joto..

So hembu funguka vizuri chanzo cha shida yako kilianzaje??
 
Sijui kama nitakuwa nimekuelewa tofauti au laa..kwa maelezo yako ni kiwa gari haichemshi ina maana ipo kwenye normal lkn gari inapata sana joto ina maana bati la gari..
Je hiyo gari yako uliagiza mwenyewe au umenunua kwa mtu??

Je hilo tatizo limeanza gafla?? Au kuna kitu ulikwenda tengeneza gereji??.

All in all nje na ndani ya gari huwa kuna kuwa kitambaa flani/cover la kuweza kuzuia joto la engine kuingia ndani ya gari au kwenye boneti hata ukiangalia mbele ya gari ukifungua boneti kwa juu huwa kuna kuwa na caperti flan lenye kitu kama fiber ndani yake ni kwaajili ya kuzuia joto..

Au ndani ya gari pia huwa kuna kuwa na carpet pia ya kuzuia joto.
Chini ya gari linapopita exhaust huwa kuna kuwa pia na bati lakuzuia joto..

So hembu funguka vizuri chanzo cha shida yako kilianzaje??
Kama injini haichemshi yaani mshale wa temperature unakuwa kawaida hapa angalia haya maeneo mdau aliyoelekeza kama yana zile fiber ambazo ni heat proof...kama hazipo lazima joto la engine liwe kali eneo hilo
 
Kama injini haichemshi yaani mshale wa temperature unakuwa kawaida hapa angalia haya maeneo mdau aliyoelekeza kama yana zile fiber ambazo ni heat proof...kama hazipo lazima joto la engine liwe kali eneo hilo
Injini haichemshi isipokuwa kunakuwa na joto kali linalosababisha hata lile bati kuchemka sana hadi abiria kulalamikia hali hiyo.
 
Aina ya gari yenyewe
IMG_20180826_161340.jpeg
 
Injini haichemshi isipokuwa kunakuwa na joto kali linalosababisha hata lile bati kuchemka sana hadi abiria kulalamikia hali hiyo.
Nilibabukaga makalio siku moja arusha, daladala ya kutoka Njiro/Atomic kwenda sokoni Kilombero
 
Back
Top Bottom