Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 25,258 Reaction score 48,589 Jul 21, 2022 #1 Habari, Wazohefu wa magari gari yangu Jana wakati natoka job imelia paah kwanguvu kwenye engine yaani nimeogopa ata kufungua bord ya mbele. Je tatizo linaweza kuwa nini?
Habari, Wazohefu wa magari gari yangu Jana wakati natoka job imelia paah kwanguvu kwenye engine yaani nimeogopa ata kufungua bord ya mbele. Je tatizo linaweza kuwa nini?
Nations JF-Expert Member Joined May 4, 2022 Posts 4,892 Reaction score 17,003 Jul 21, 2022 #2 Toyota hiyo