Habari za kazi wakuu poleni kwa mapambano ya Corona....naombeni ushaurini wenu nina gari Mitsubishi pick up L 200 ya mwaka 1995, ugonjwa mkubwa unao Ni sumbua upo kwenye engine maana sijawahi kushusha toka ninunue gari mwaka 1995 (Zaid ya service za hapa na pale).
Safari hiii nataka kushusha engine na uliza engine Toyota hilux Ina weza kuwa mbadala? Sitaki kutumia Engine ya Mitsubishi changamoto huwa na pata timing belt ikakita lock huwa Zina vunjika kwenye piston Nawasilsha
Msaada wa mawazo yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari hiii nataka kushusha engine na uliza engine Toyota hilux Ina weza kuwa mbadala? Sitaki kutumia Engine ya Mitsubishi changamoto huwa na pata timing belt ikakita lock huwa Zina vunjika kwenye piston Nawasilsha
Msaada wa mawazo yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app