Injinia Hersi nakushauri ishi vizuri na wenzako ndani ya Yanga, vinginevyo wenye Yanga yao watakukwamisha sana, leo timu ilipigwa pini

Injinia Hersi nakushauri ishi vizuri na wenzako ndani ya Yanga, vinginevyo wenye Yanga yao watakukwamisha sana, leo timu ilipigwa pini

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Yanga ni wapinzani wangu na siwapendi, nimefurahi sana kuondolewa leo maana tusingekaa mjini, maneno ya shombo ya zungu pori, maneno ya hovyo ya Ally Kamwe yangetuchoma sana sisi watu wa Simba.

Eti wangeshinda leo wangekuwa nafasi ya 5, ujinga kabisa.Ila nnao uhakika kuwa Yanga wamepigana pini wenyewe kwa wenyewe, kuna kamchezo fulani ambako Simba tunao huo ujinga leo Yanga wamefanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Injinia ni mjeuri sana, anajiona ana akili kuliko wenzake, anajiona bila wakongwe pale jangwani timu inaweza kupata mafanikio, yaani kiufupi kuna watu ndani ya timu hiyo wamemuumiza injinia leo ili ajue kuwa timu hiyo ina wenyewe na aache kiburi.

Soma Pia: FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Wahuni ndani ya timu hiyo walifanya kazi moja tu, kuwapiga pini wachezaji wao, pini hiyo ilipigwa kwa wachezaji wote, wachezee mpira weeeee lakini goli halipo, yanga wamecheza mpira mkubwa sana, wameshinda golini kwa MC Algers lakini pini iliyowekwa ilikuwa sio ya kawaida, wajanja wanaotaka kumuonyesha injinia waliweka mkakati siku nyingi tu kuwa lazima wamkwamishe maana hawaoni faida ya kuendelea kuwa naye, sasa hivi wanamfanyia undava tu.

Nakushauri Injinia ishi nao vizuri uliowakuta ndani ya Yanga, vinginevyo utaondoka kama alivyoondoka Lloyd Nchunga.
 
IMG-20250115-WA0008.jpg
 
Yanga ni wapinzani wangu na siwapendi, nimefurahi sana kuondolewa leo maana tusingekaa mjini, maneno ya shombo ya zungu pori, maneno ya hovyo ya Ally Kamwe yangetuchoma sana sisi watu wa Simba.

Eti wangeshinda leo wangekuwa nafasi ya 5, ujinga kabisa.Ila nnao uhakika kuwa Yanga wamepigana pini wenyewe kwa wenyewe, kuna kamchezo fulani ambako Simba tunao huo ujinga leo Yanga wamefanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Injinia ni mjeuri sana, anajiona ana akili kuliko wenzake, anajiona bila wakongwe pale jangwani timu inaweza kupata mafanikio, yaani kiufupi kuna watu ndani ya timu hiyo wamemuumiza injinia leo ili ajue kuwa timu hiyo ina wenyewe na aache kiburi.

Soma Pia: FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Wahuni ndani ya timu hiyo walifanya kazi moja tu, kuwapiga pini wachezaji wao, pini hiyo ilipigwa kwa wachezaji wote, wachezee mpira weeeee lakini goli halipo, yanga wamecheza mpira mkubwa sana, wameshinda golini kwa MC Algers lakini pini iliyowekwa ilikuwa sio ya kawaida, wajanja wanaotaka kumuonyesha injinia waliweka mkakati siku nyingi tu kuwa lazima wamkwamishe maana hawaoni faida ya kuendelea kuwa naye, sasa hivi wanamfanyia undava tu.

Nakushauri Injinia ishi nao vizuri uliowakuta ndani ya Yanga, vinginevyo utaondoka kama alivyoondoka Lloyd Nchunga.
Mzee Magoma apewe timu
 
Yanga ni wapinzani wangu na siwapendi, nimefurahi sana kuondolewa leo maana tusingekaa mjini, maneno ya shombo ya zungu pori, maneno ya hovyo ya Ally Kamwe yangetuchoma sana sisi watu wa Simba.

Eti wangeshinda leo wangekuwa nafasi ya 5, ujinga kabisa.Ila nnao uhakika kuwa Yanga wamepigana pini wenyewe kwa wenyewe, kuna kamchezo fulani ambako Simba tunao huo ujinga leo Yanga wamefanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Injinia ni mjeuri sana, anajiona ana akili kuliko wenzake, anajiona bila wakongwe pale jangwani timu inaweza kupata mafanikio, yaani kiufupi kuna watu ndani ya timu hiyo wamemuumiza injinia leo ili ajue kuwa timu hiyo ina wenyewe na aache kiburi.

Soma Pia: FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Wahuni ndani ya timu hiyo walifanya kazi moja tu, kuwapiga pini wachezaji wao, pini hiyo ilipigwa kwa wachezaji wote, wachezee mpira weeeee lakini goli halipo, yanga wamecheza mpira mkubwa sana, wameshinda golini kwa MC Algers lakini pini iliyowekwa ilikuwa sio ya kawaida, wajanja wanaotaka kumuonyesha injinia waliweka mkakati siku nyingi tu kuwa lazima wamkwamishe maana hawaoni faida ya kuendelea kuwa naye, sasa hivi wanamfanyia undava tu.

Nakushauri Injinia ishi nao vizuri uliowakuta ndani ya Yanga, vinginevyo utaondoka kama alivyoondoka Lloyd Nchunga.
Kuna shabiki wa utopolo nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu🤣🤣🤣
 
Hakuna cha pini wala nini, walizidiwa mbinu tu za uwanjani. Kumuacha mpinzani wako acheze mpira nayo ni mbinu.

Ukiwa na mpira unatafuta goli kwa udi na uvumba unachoka zaidi ya yule ambaye ameamua kuzuia tu na uchovu unaongezeka kwa jinsi unavyoona haupati goli.
 
Kuna shabiki wa utopolo nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu🤣🤣🤣
Mimi huku nilipokuwa, alipokuwa anaingia Chama walilipuka kwa shangwe. Maisha haya bwana....
 
mwaaalimu kwaheri kwaheriii tunakwenda zetu nyumbaani.....
 
Engineer haifanyi kazi peke yake pale Yanga. Yaliyo tokea ni Matokeo ya mpira.
Jikiteni mambo ya kombe la kina Mama.
Kombe la kina mama ndio lilikuweka kwenye nafasi ya 19 kutokea huko ulikokuwepo ukiwapokea wapinzani WA Simba Airport.😄
 
Hers NI mtu mnafiki Sana na ndio sababu timu imeishia njiani we kiongozi gani alikuwa anaongea na wapinzani wa timu ya Simba walipokuwa wanakuja kucheza hapa Tz sasa watu wanamuonyesha kuwa hii ni kalma
 
Hers NI mtu mnafiki Sana na ndio sababu timu imeishia njiani we kiongozi gani alikuwa anaongea na wapinzani wa timu ya Simba walipokuwa wanakuja kucheza hapa Tz sasa watu wanamuonyesha kuwa hii ni kalma
Punguzeni U mbumbumbu Hersi kuongeza na wapinzani hakukufanyi Simba kutishia robo kwa miaka yote.
Uwezo wa timu ndipo ulipo fikia, Mada za kinafiq haziwezi kuwavusha inatakiwa mjitafakari.
Uwezi kuwa na Kibu , Ateba alafu utake upige hatuta, ni Mbumbumbu tu ata amini katika ilo.
 
Punguzeni U mbumbumbu Hersi kuongeza na wapinzani hakukufanyi Simba kutishia robo kwa miaka yote.
Uwezo wa timu ndipo ulipo fikia, Mada za kinafiq haziwezi kuwavusha inatakiwa mjitafakari.
Uwezi kuwa na Kibu , Ateba alafu utake upige hatuta, ni Mbumbumbu tu ata amini katika ilo.
Wewe mwenye timu umefika wapi umevuka hiyo robo au
 
Engineer haifanyi kazi peke yake pale Yanga. Yaliyo tokea ni Matokeo ya mpira.
Jikiteni mambo ya kombe la kina Mama.
Kwanza huyo injinia mwezi wa10 anakuwa mbunge
 
Kwanza huyo injinia mwezi wa10 anakuwa mbunge
Kuwa Mbunge hakuondoi sifa ya yeye kuwa Rais wa Yanga.
MO alikua Mbunge na ana mwenyekiti wa Mto Singida, African Lion.
 
Back
Top Bottom