SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hasa kutoka kwa wale vilaza wa E -FM na Wasafi FMAngeandika hivi MO Dewji,
Comments za kumpinga zingefika elfu Kumi na ushee.
Kabisa...Wachambuzi hewa na Msukule wangesema mpaka midomo ikakauka.. Sijui ni kwasababu gani Nyani Haoni Kundule Lake.Angeandika hivi MO Dewji,
Comments za kumpinga zingefika elfu Kumi na ushee.
Mkweli ni GSM Tu.Kwakua MO ni muongo, jezi moja ya Simba Ina bidhaa za MO Kama Tano na kila bidhaa inatakiwa iwe na mkatabawake Sasa inakuaje mapato ya timu Mwaka yashindwe kuendesha Klabu wakati Kuna wadhamiini wengine Kama Azam na Mo
Kwani home boy klabu ya simba kwa mwaka inatumia kiasi gani katika bajeti yake? Hivi unaposema sijui kuna matangazo kwenye jezi ,unajua thamani ya kila tangazo kwenye jezi.Nakupa mfano,msimu uliopita Simba na mdhamini wa timu ambaye ni Mo walisaini mkataba wa kutangaza sabuni ya Mo poa.Mkataba ulikuwa na thamani ya shilingi milioni mia mbili as it was reported.I am not sure whether this was true or not.Sasa tufanye leo hii kila tangazo liwe na hii thamani maana yake ni kwamba matangazo yote, umesema matano yata count kama bilioni moja.Swali langu ni hivi ni kweli klabu kama simba inaendeshwa kwa bajeti ya bilioni moja kwa msimu?
Mbona anaanza kuchoka mapema hivi!!?
Ndio ligi inaanza hatutaki lawama mbele ya safari.
Hebu tuongee ukweli sasa.
Matangazo aka mabango yaliyo kwenye jezi yanaoita kwenye luninga ya Azam 90min. Maana yake garama ya kutangaza bidhaa yako umetumia TV kwa njia rahisi.
Let say gharama ya kutangaza advert AZAM ni 500,000 kwa dakika.
Maana yake 90min 45,000,000
Piga hesabu 45,000,000 x mechi 30
It means 1.3b
Sasa tuseme umeuza jezi 200,000
Mabango yakiyopo kwenye jezi yanazunguka mpaka vijijini ndani ndani kabisa.
Tuseme bei ya kawaida ya tangazo kwa kila T shirt ni 10,000 kwa mwezi
Maana yake 10,000×12×200,000
Maana yake 24 billion.
Yaaan pesa aliyotumia MO kuilipa simba ni operational cost za mwaka mmoja tu.
Waache uongo sisi siyo wajinga.
HAWAWEZI KUKUBALI ABADANUkiwaambia pisha mdhamini mwingine hawataki
HAWAWEZI KUKUBALI ABADAN
Mfanyabiashara yeyote anataka cost(expenditure) minimization.
Kutumia team kutangaza bidhaa ni njia rahisi na cheap.
Halafu wengine wananunua bidhaa kwa ushabiki tu.
Basi waondoeni wawekezaji timu ijiendeshe Kwa hayo matangazo yake ambao mnayo yapigia hesabu kama yanafaida hizo.
Yanga alivyoondoka Manji kila kukicha mlikuwa mnampigia magoti arudi kuwadhamni.
Kwani hamkuwa na matangazo ya kuyaweka kwenye jezi na kuwaingizia pesa za kuendesha timu ?
Wawekezaji wa Ligi yetu wengi wanazifadhiri timu Kwa mapemzi Yao Tu Kwa timu husika.
Ndio maana GSM hawezi kuifadhiri Simba hata iweje.
Wekeni basi matangazo yenu muendeshe vilabu.
Tatizo la washabiki wengi wanajua kuongea Tu.
MO Alisha weka wazi kuwa anaifadhiri Simba Kwa mapenzi yake binafsi Tu
Kama ameweza kuanzisha MO Foundation ambayo ni huduma Tu ya kurudisha pesa Kwa jamii na hapati faida yoyote.
Vipi ashindwe kuifadhi Simba Kwa lengo lilelile la kurudisha faida Kwa wananchi
Nyie kazi yenu ni kupiga soga Tu na kudakua.
Wekeni matangazo yenu muzihudumie hizo timu.
Lopolopo nyingii unafikiri mna uwezo wa kumlipa hata mshahara wa mchezaji mmoja Tu.
Hao ma-fans ambao wanashindwa kulipa elfu 5 kwenda Uwanjani halafu wanasikiliza kwenye redio au Kibanda Umiza kwa Jero?Kwa mpaka sasa sidhani kama kuna anayepiga hayo ila kwa upande mwingine tunaamini hao Wawekezaji nao ni greathinkers au wamezungukwa na Greathinkers watumie huo Mtaji wa Mashabiki kupata faida.
Hizo timu mitaji yao ni Wafuasi, kila kona ya nchi kuna mashabiki wa hizi timu, na zimebeba roho za Watu jiongezeni Wazee.
Ubongo kisoda utajulia wapi haya mambo.Basi waondoeni wawekezaji timu ijiendeshe Kwa hayo matangazo yake ambao mnayo yapigia hesabu kama yanafaida hizo.
Yanga alivyoondoka Manji kila kukicha mlikuwa mnampigia magoti arudi kuwadhamini.
Kwani hamkuwa na matangazo ya kuyaweka kwenye jezi na kuwaingizia pesa za kuendesha timu ?
Wawekezaji wa Ligi yetu wengi wanazifadhiri timu Kwa mapemzi Yao Tu Kwa timu husika.
Ndio maana GSM hawezi kuifadhiri Simba hata iweje.
Wekeni basi matangazo yenu muendeshe vilabu.
Tatizo la washabiki wengi wanajua kuongea Tu.
MO Alisha weka wazi kuwa anaifadhiri Simba Kwa mapenzi yake binafsi Tu
Kama ameweza kuanzisha MO Foundation ambayo ni huduma Tu ya kurudisha pesa Kwa jamii na hapati faida yoyote.
Vipi ashindwe kuifadhi Simba Kwa lengo lilelile la kurudisha faida Kwa wananchi
Nyie kazi yenu ni kupiga soga Tu na kudakua.
Wekeni matangazo yenu muzihudumie hizo timu.
Lopolopo nyingii unafikiri mna uwezo wa kumlipa hata mshahara wa mchezaji mmoja Tu.
Hapana sikumanisha kama unavyosema wewe. Nilikuwa namfanyia hesabu nyepesi mtu hapa, maana kadai Mo kaweka matangazo matano ndio nikauliza unajua mikataba yake hiko vipi, maana matangazo ya msimu uliopita nadhani MO poa katoa milioni 200. Kwahiyo kama msimu huu ikafanyika hesabu za namna hiyo ni kwamba Simba anaweza kuwa na bilioni moja(I was only clarifying, but I don't think business is done this way) lakini hakuna anayejua mikataba hiko vipi.Kingine bado hiyo bilioni moja ni bajeti ndogo kwa timu kwa msimu mzimaKwahiyo Mo analipa bilioni moja kwa matangazo yake yote?
Unamjua Mo vizuri??Alipe bilioni kwa Simba kutangaza bidhaa zake?
Mo?
Simba na Yanga miaka mingi zilikuwa na shida ya udhaminiNyinyi ndo watu wenye akili nyepesi mno
Mnarubuniwa na maneno mepesi bila kufanya utafiti..
Hiyo Mo foundation we unajua matumizi yake yote?Kwanza kwanini Non profit Foundation itangazwe kwenye jezi?Umewahi jiuliza?
Je foundation ni Mali ya mtu?
Mo foundation ni Mali ya Mo?
Manake Nyerere foundation sio mali ya familia ya Nyerere...
Foundation hazilipi kodi...
Mo anajua anachokifanya na hiyo Mo foundation...
Kisoda vipi tena eleza unachofikiriUbongo kisoda utajulia wapi haya mambo.
Kwenye biblia imeandikwa:-
Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka.
Mithali 27:22
Dhamini wewe basi uweke matangazo yako upate faida.Nyinyi ndo watu wenye akili nyepesi mno
Mnarubuniwa na maneno mepesi bila kufanya utafiti..
Hiyo Mo foundation we unajua matumizi yake yote?Kwanza kwanini Non profit Foundation itangazwe kwenye jezi?Umewahi jiuliza?
Je foundation ni Mali ya mtu?
Mo foundation ni Mali ya Mo?
Manake Nyerere foundation sio mali ya familia ya Nyerere...
Foundation hazilipi kodi...
Mo anajua anachokifanya na hiyo Mo foundation...
Mzee akili zako ni ndogo huwezi elewa tunachoongelea Mzee.Simba na Yanga miaka mingi zilikuwa na shida ya udhamini
Mpira ulidorola.
Leo wadhamni wamejitokeza, Mpira mzuri tunauona, hadi tunafikia kupata uwakilishi WA timu nne kimataifa tunashindana na timu ambazo zina uwekezaji mzuri kama Libya.
Washabiki lazima tuwape muda wawekezaji.
Wameanza kudhamini mpira juzi Tu maneno kibao ya kuwakebehi.
Tunataka kusikia neno moja tu kwamba wanapata faida.
Mbona makampuni ya Migodi kuna wakati yanatangaza hasara na tunakubali.
Home Shopping Center walitanga kupata hasara na ni kawaida ktk biashara.
Katika mpira hatutaki kabisa kusikia muwekezaji kapata hasara.
Hii sio.
Ukitumia akili bado watakunufaisha.Hao ma-fans ambao wanashindwa kulipa elfu 5 kwenda Uwanjani halafu wanasikiliza kwenye redio au Kibanda Umiza kwa Jero?
Au mashabiki ambao wanashindwa kuchangia timu yao kupitia jersey kwa elfu 35, na badala yake wanaenda K/koo kununua za buku tatu tatu?
Au unazungumzia mashabiki gani?
We na akili kubwa yote hiyo bado hufahamu hatua za mahitaji.Mzee akili zako ni ndogo huwezi elewa tunachoongelea Mzee.
GSM and MO ni wafanyabiashara, tena asili yao ni mwarabu na mhindi.
Hivi kwa akili yako hiyo hao wafanyabiashara wanazipenda saaaana hizo teams!? Kiasi cha kuwekeza kwa hasara!?
WEWE UNGEKUWA MFANYABIASHARA UNGEWEKEZA KWA HASARA.