Innocent Mungy: Wanapiga picha majina katika Nyumba za Kulala Wageni kisha wanaenda kufanya utapeli

Innocent Mungy: Wanapiga picha majina katika Nyumba za Kulala Wageni kisha wanaenda kufanya utapeli

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Screenshot 2025-03-02 090354.jpg
TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), imesema wenye madaftari ya wageni kujiandikisha kwenye malango ya ofisi zao wanafanya makosa kwa mujibu wa Sheria ya Taarifa Binafsi kwa kuwa wanakusanya taarifa za watu bila ridhaa yao.

Mkuu wa Mahusiano na Mawasiliano wa Tume, Innocent Mungy ameyasema hayo Machi 1, mwaka huu mjini Morogoro wakati akiwasilisha mada ya tafsiri ya taarifa binafsi, amesema mtu anapaswa kuandika kitambulisho chake cha NIDA na sio taarifa za kina ambazo hutumiwa vibaya na watu.

Alitaja taarifa zinazopaswa kulindwa ni jina la ukoo, majina mengine, anwani, historia ya elimu, ajira, NIDA, eneo alilopo (live location), dini, hali ya ndoa, utaifa, kabila , umri, hali ya fedha na afya.

“Kuna watu kazi yao ni kupita sehemu mbalimbali zenye madaftari ya wageni wanawapa fedha kidogo walinzi kisha wanapiga picha kisha wanazitumia kutapeli watu ndio ule ujumbe wa zile fedha tuma kwenye namba hii,”amesema.

Chanzo: Nipashe
 
TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), imesema wenye madaftari ya wageni kujiandikisha kwenye malango ya ofisi zao wanafanya makosa kwa mujibu wa Sheria ya Taarifa Binafsi kwa kuwa wanakusanya taarifa za watu bila ridhaa yao.

Mkuu wa Mahusiano na Mawasiliano wa Tume, Innocent Mungy ameyasema hayo Machi 1, mwaka huu mjini Morogoro wakati akiwasilisha mada ya tafsiri ya taarifa binafsi, amesema mtu anapaswa kuandika kitambulisho chake cha NIDA na sio taarifa za kina ambazo hutumiwa vibaya na watu.

Alitaja taarifa zinazopaswa kulindwa ni jina la ukoo, majina mengine, anwani, historia ya elimu, ajira, NIDA, eneo alilopo (live location), dini, hali ya ndoa, utaifa, kabila , umri, hali ya fedha na afya.

“Kuna watu kazi yao ni kupita sehemu mbalimbali zenye madaftari ya wageni wanawapa fedha kidogo walinzi kisha wanapiga picha kisha wanazitumia kutapeli watu ndio ule ujumbe wa zile fedha tuma kwenye namba hii,”amesema.

Chanzo: Nipashe
🤔🤔🤔💭🔊
 
TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), imesema wenye madaftari ya wageni kujiandikisha kwenye malango ya ofisi zao wanafanya makosa kwa mujibu wa Sheria ya Taarifa Binafsi kwa kuwa wanakusanya taarifa za watu bila ridhaa yao.

Mkuu wa Mahusiano na Mawasiliano wa Tume, Innocent Mungy ameyasema hayo Machi 1, mwaka huu mjini Morogoro wakati akiwasilisha mada ya tafsiri ya taarifa binafsi, amesema mtu anapaswa kuandika kitambulisho chake cha NIDA na sio taarifa za kina ambazo hutumiwa vibaya na watu.

Alitaja taarifa zinazopaswa kulindwa ni jina la ukoo, majina mengine, anwani, historia ya elimu, ajira, NIDA, eneo alilopo (live location), dini, hali ya ndoa, utaifa, kabila , umri, hali ya fedha na afya.

“Kuna watu kazi yao ni kupita sehemu mbalimbali zenye madaftari ya wageni wanawapa fedha kidogo walinzi kisha wanapiga picha kisha wanazitumia kutapeli watu ndio ule ujumbe wa zile fedha tuma kwenye namba hii,”amesema.

Chanzo: Nipashe
Tanzania ni nchi iliyo nyuma sana kwenye kulinda taarifa za watu binafsi kwa sababu serikali kupitia vyombo vyake havifanyi kazi. Sijui ni kwa nini wanachagua hili moja tu. Kwa mfano kuna taarifa kutoka polisi kuhusu mwanamme mmoja kufia nyumba ya wageni akiwa na mwanamke. Kuna umuhimu gani wa polisi kusimama na kuitangazia dunia kuwa fulani kafia nyumba ya wageni akiwa na mwanamke? Mbona haya yanapowapata viongozi wa serikali hawayaweki hadharani? Si hayo tu, ujio wa hizi ''Online TV'' umefanya mambo binafsi ya watu kuwekwa hadharani bila kufaata kanuni na sheria. Kwa kifupi kama ilivyo kwenye kila eneo, ulindaji wa taarifa binafsi za watu ni kama hauko kabisa.
 
Wengine hatuendi hizo nyumba za kulala wageni lakini unapata pata hizo sms za tuma kwenye number hii...


Cc: Mahondaw
 
TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), imesema wenye madaftari ya wageni kujiandikisha kwenye malango ya ofisi zao wanafanya makosa kwa mujibu wa Sheria ya Taarifa Binafsi kwa kuwa wanakusanya taarifa za watu bila ridhaa yao. Mkuu wa Mahusiano na Mawasiliano wa Tume, Innocent Mungy ameyasema hayo Machi 1, mwaka huu mjini Morogoro wakati akiwasilisha mada ya tafsiri ya taarifa binafsi, amesema mtu anapaswa kuandika kitambulisho chake cha NIDA na sio taarifa za kina ambazo hutumiwa vibaya na watu. Alitaja taarifa zinazopaswa kulindwa ni jina la ukoo, majina mengine, anwani, historia ya elimu, ajira, NIDA, eneo alilopo (live location), dini, hali ya ndoa, utaifa, kabila , umri, hali ya fedha na afya. “Kuna watu kazi yao ni kupita sehemu mbalimbali zenye madaftari ya wageni wanawapa fedha kidogo walinzi kisha wanapiga picha kisha wanazitumia kutapeli watu ndio ule ujumbe wa zile fedha tuma kwenye namba hii,”amesema. Chanzo: Nipashe
 
TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), imesema wenye madaftari ya wageni kujiandikisha kwenye malango ya ofisi zao wanafanya makosa kwa mujibu wa Sheria ya Taarifa Binafsi kwa kuwa wanakusanya taarifa za watu bila ridhaa yao. Mkuu wa Mahusiano na Mawasiliano wa Tume, Innocent Mungy ameyasema hayo Machi 1, mwaka huu mjini Morogoro wakati akiwasilisha mada ya tafsiri ya taarifa binafsi, amesema mtu anapaswa kuandika kitambulisho chake cha NIDA na sio taarifa za kina ambazo hutumiwa vibaya na watu. Alitaja taarifa zinazopaswa kulindwa ni jina la ukoo, majina mengine, anwani, historia ya elimu, ajira, NIDA, eneo alilopo (live location), dini, hali ya ndoa, utaifa, kabila , umri, hali ya fedha na afya. “Kuna watu kazi yao ni kupita sehemu mbalimbali zenye madaftari ya wageni wanawapa fedha kidogo walinzi kisha wanapiga picha kisha wanazitumia kutapeli watu ndio ule ujumbe wa zile fedha tuma kwenye namba hii,”amesema. Chanzo: Nipashe
 
Hizi vocha za kurushiwa pia inachangia kwa kiasi kikubwa na wasajili lain za simu. Naona Tanzania kupata lain ya simu ni rahis sana kuliko nchi nyingine yaani mtu mmoja anaweza akawa na lain hata 20 without any problems hii pia ni shida...kuna nchi kama India sio rahis sana kupata lain kwa urahis kiusalama haijakaa vzr
 
Mara zote naandika majina ya Mchungaji Boniface M. Godwin.
Namba naweka za wale waganga wa jadi wa facebook.
 
Back
Top Bottom