Insect spy drone

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Is this a mosquito?
No. It's an insect spy drone for urban areas, already in production, funded by the US Government.

It can be remotely controlled and is equipped with a camera and a microphone. It can land on you, and it may have the potential to take a DNA sample or leave RFID tracking nanotechnology on your skin.

It can fly through an open window, or it can attach to your clothing until you take it in your home.
 

Mi sijaelewa........ni kinini hicho......? Boflo umeanza lini kingereza.....? Au nia yako nisielewe.......?
 
Last edited by a moderator:
Mi sijaelewa........ni kinini hicho......? Boflo umeanza lini kingereza.....? Au nia yako nisielewe.......?
Acha usanii ww preta, mbona wakati wa kula bata
Jumba la mbezi unajifanya hujui Kiswahili...full kizungu
cc: mwaJ
 
Last edited by a moderator:

I wish Osama Bin Laden was alive to be tracked by this device for in-doubtful proof.
 
Mzee wa avatar sasa umeamua uje na hii ya ulimi wa kike.
 
Hahahah wanagombania kuchinja.....wanapenda kuua
bora yangu mm ni vegetarian

ongea taratibu wasije wakadai hata kuchuma veg ni haki yao, si umeona hata juisi ya kampuni moja kubwa huko tanzania imechapwa "HALAL", nadhani ndiyo mwanzo wa kuhalalisha kila kitu.
 
Kinaua??
Maana wakisikiliza mazungumzo yangu kuanzia asubuhi hadi jioni watakufa kwa genye bure
 
Hahahah wanagombania kuchinja.....wanapenda kuua
bora yangu mm ni vegetarian

ongea taratibi, punde watataka hata vegs wazihalalishe, si nimeona huko tanzania juisi ya kampuni moja kubwa imechapwa"HALAL!". huo ni mwanzo tu
 
Acha usanii ww preta, mbona wakati wa kula bata
Jumba la mbezi unajifanya hujui Kiswahili...full kizungu
cc: mwaJ

kwani saa hii nimelewa....? nikilewa ndio kiinglish kinakuja.......na si unajua nakunywaga nini.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…