njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Haijulikani tatizo ni nini au ni dharau dhidi ya Dodoma Jiji au wanajaribu kuweka rekodi fulani amaizing lakikini kikosi cha Simba kimetoka na kwenye page zote officials hadi ya msemaji wao Manara wameweka kikosi chenye wachezaji 10 badala ya 11.