njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
nakuona utopolo habari yako nahisi leo makocha wetu wanataka kuandika historia ,itakuwa ya kukumbukw ahiiiMikia Fc hua wasumbufu kweliππππ
nimehesabu wako kumi labda kama sheva, au dilunga au kahata mmojawapo atacheza,kuna watu wa kitengo cha habari wameajiriwa kwa kazi hiyo halafu wanapost bila ku double check si ujinga huo?jana utopolo walitoa boko la statememnt ya kaimu katibu mkuu kuonyesha barua ya mwezji jana ila dakika chache wakawahi kuifutaKushoto Starting XI, kulia list ina X
Huenda ni hitilafu tu.. hata hivyo kwani inaruhusiwa?
kipo hata insta labda kama wamefuta sasa hivi....kam autopolo jana walivyofuta fasta baada ya kuchapia tarehe na mweziHiki kikos mmetoaa wap mbna kwenye official pages hakipoooo!??
Hiki apaaa wamepostkipo hata insta labda kama wamefuta sasa hivi....kam autopolo jana walivyofuta fasta baada ya kuchapia tarehe na mwezi
Nyau wao wameshasema kuwa leo mikia lazima wachapwe ndio maana wameingiza wachezaji 10Mikia Fc hua wasumbufu kweliππππ
halafu kuna watu wa media ndiyo kazi yao hiyo na hela wanalipwa,tutaendelea kuwapiga spana tuWamekirekebisha
Unaendeleaje? Unateseka ukiwa pande zipi za nchi?Nyau wao wameshasema kuwa leo mikia lazima wachapwe ndio maana wameingiza wachezaji 10
Unawashwa ukiwa wapi ?Nyau wao wameshasema kuwa leo mikia lazima wachapwe ndio maana wameingiza wachezaji 10