Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
Habari zenu wana JF,
Pamoja na wapenzi wote wa hili jukwaa la Celebrities Forum.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu.
Baada ya Serikali kutangaza kuondoa kodi ya Road licence.
Muimbaji mkongwe katika fani ya Muziki wa Ladha ya Bongo (Bongo flever) Inspector Haron, ameeleza kufurahishwa kwake na maamuzi yaliyo tolewa na Serikali, kwa kuondoa kodi ya leseni ya barabara, maamuzi yatakayo msukuma kurudisha/kutengeneza gari yake iliyopaki nyumbani kwa muda mrefu.
Akieleza/akitoa maoni yake juu ya hatua iliyochukuliwa na Serikali, amesema ni wananchi wachache wanaoweza kupongeza uamuzi huu, kwani si Raia wote wenye uwezo wa kumiliki Magari.
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
Pamoja na wapenzi wote wa hili jukwaa la Celebrities Forum.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu.
Baada ya Serikali kutangaza kuondoa kodi ya Road licence.
Muimbaji mkongwe katika fani ya Muziki wa Ladha ya Bongo (Bongo flever) Inspector Haron, ameeleza kufurahishwa kwake na maamuzi yaliyo tolewa na Serikali, kwa kuondoa kodi ya leseni ya barabara, maamuzi yatakayo msukuma kurudisha/kutengeneza gari yake iliyopaki nyumbani kwa muda mrefu.
Akieleza/akitoa maoni yake juu ya hatua iliyochukuliwa na Serikali, amesema ni wananchi wachache wanaoweza kupongeza uamuzi huu, kwani si Raia wote wenye uwezo wa kumiliki Magari.
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app