Inspector Haroun yu wapi?

Inspector Haroun yu wapi?

Rekebisha kwanza hiyo heading na kwenye content kidogo, ni inspector Haruni aka babu na sio inspection mkuu.
 
Yule Mkongwe na gwiji wa freva za bongo za ukweli inspector haron yu wapi?

cc1f2-inspector.jpg
 
Kuna kipindi nilisikia alipiga shoo ya buku mbili....mbili.... nikashtuka sana na kusikitika....big up...kwa bongo fleva waliotusua kiuchumi D platinumz na Ali Kiba....
 
mwenye nyimbo ya inspector haroun
utaoa lini mp3 anisaidie hapa wakuu
ile alio mpinga mwana FA
 
jamaa yupo zake huku mtaani yupo vizur na mndinga mkali tu fresh maisha yanaendelea anajihusisha na biz za chips
 
Yule Mkongwe na gwiji wa freva za bongo za ukweli inspector haron yu wapi?
Ana nyimbo mbili mpya moja amemdiss Roma mkatoliki,na nyingine nasikia tuu ngaa ngaa ngaa ngii ngii ngii yaan vyuma vimekaza,nadhani ni nyimbo za kujifanya kimbele mbele kwa sisiem
 
Jamaa walikuja moto sana enzi zao. Ni mojawapo ya wanamuziki wa kwanza(Gangwe Mobb) kuanzaisha Website na Clothing Line(Gangwe Gear).
 
Back
Top Bottom