Insta ya Mange Kimambi kulikoni?

Kila nikijaribu inaniletea majibu ukurasa haupatikani, vp kapigwa pini nini? au ni kwangu tu
Dogo tafuta pesa badala ya kuhangaika na vitu vya kijinga huko Insta,unajiita baba huku unahangaika kufuatilia sijui habari za wanawake kuchambana huko insta!! kumkosa huyo sijui Mange umekuja spidi huku kuuliza utafikiri umekuja kuomba ushauri baada ya kupata hasara au faida kwenye biashara zako? jitafakari,hayo mambo sijui ya ubuyu waachie wanawake.
 
Agiza supu kwa mama muuza, nitakuja kulipa
 
Usie mjua ni kama usiku wa giza, nikitaka bia najua pakwenda, nikitaka biashara zangu najua pakwenda, nikitaka papuchi najua pakwenda nikitaka kumuomba Mungu najua pa kwenda, so tusipangiane maisha dogo, by the way umefuata nini huku jukwaa
kama hili? kashinde jukwaa la biashara basi ukuze biashara zako.......... Maisha sio magumu hivyo dogo chill and relax
 
Bora uwaambie mkuu kuna watu wanafiki humu kuliko kawaida
 
Kwa uandishi huu,unaonekana ni kitoto cha shule ambacho kipo likizo kwa Mama.
 
Angalia kwanza join date yangu dogo, kakojoe ulale
Unaona sasa jinsi ulivyokua na akili ya kuvukia barabara tu!

Hivi umri wa mtu unapimwa kwa kuangalia join date yake hapa JF?!!
Ina maana wale wote ambao hawaja join hapa jf bado ni wadogo?

Tizama shule yako we mtoto,achana na kuhangaika na Mange huko Insta,yaani mtoto wa kiume unakuja kujisifu humu eti ulikua unapigizana kelele na mwanamke "Mange" kisha akakupiga block?

Wazazi wako wana hasara kubwa sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…