sometimesyes
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 360
- 288
Mkuu rudi uje umalizie.Ukitaka kutangaza Instagram kwa kutumia ads hauendi direct instagram, kuna kitu kinaitwa "facebook business" hapa ni maalum kwa matagazo kwenye FB na insta kwa kutumia ads..
-nenda google search 'facebook business'
-chagua compose new ads
-itakuletea form ya kujaza kipengele cha kwanza ni 'audience' na cha pili ni 'budget'
-AUDIENCE hapa changua tagazo lako lionekane wapi eg locanition:TANZANIA, state: DSM, AGE: 18>64
-BUDGET hapa una chagua unalipia kiasi gani na kwa namna ipi
unaweza kulipia tangazo lako kwa namna zifuatazo
CPC
CPM
CPA
hapa kila njia inagarama yake
-ukisha malika kuna kitu ninaitwa FB auction hapa utachagua tangazo lako lipatikane wapi Eg. Fb, insta au kote kwa pamoja
Nb: garama inategemea aina ya tagazo na malipo ni USD
>Nipo busy kidogo mkuu saiv, kama nikipata mda nitakuelewesha hizo CPC, CPM na CPA,
Ukitaka kutangaza Instagram kwa kutumia ads hauendi direct instagram, kuna kitu kinaitwa "facebook business" hapa ni maalum kwa matagazo kwenye FB na insta kwa kutumia ads..
-nenda google search 'facebook business'
-chagua compose new ads
-itakuletea form ya kujaza kipengele cha kwanza ni 'audience' na cha pili ni 'budget'
-AUDIENCE hapa changua tagazo lako lionekane wapi eg locanition:TANZANIA, state: DSM, AGE: 18>64
-BUDGET hapa una chagua unalipia kiasi gani na kwa namna ipi
unaweza kulipia tangazo lako kwa namna zifuatazo
CPC
CPM
CPA
hapa kila njia inagarama yake
-ukisha malika kuna kitu ninaitwa FB auction hapa utachagua tangazo lako lipatikane wapi Eg. Fb, insta au kote kwa pamoja
Nb: garama inategemea aina ya tagazo na malipo ni USD
>Nipo busy kidogo mkuu saiv, kama nikipata mda nitakuelewesha hizo CPC, CPM na CPA,