Instagram yaanza majaribio ya kuficha 'likes' dunia nzima

Instagram yaanza majaribio ya kuficha 'likes' dunia nzima

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Wiki iliyopita mtandao wa kijamii wa Instagram ulitangaza kuanza kuficha idadi ya likes kwenye posts za watu mitandaoni ili kuondoa msukumo mkubwa na kufanya mtandao huo kuwa kijamii zaidi kuliko kuwa wa mashindano ya kupata likes.

Leo Instagram wataanza mpango huo kwa dunia nzima baada ya kuona umepokeleea vyema huko Marekani na baadhi nchi nyingine.

 
Hapana mkuu, wana sheria zao japo hawaziwekagi wazi.
Na Verification za Sub-Sahara Africa zinatokea Kenya na South Africa.

Kuanzia Facebook, Instagram, Twitter, WhatsApp na YouTube Verification na Monetization.
 
Mfano kama mimi mkulima wa bilinganya hapa Buza nifanyeje ili niwe verified?
Hakikisha unakuza thamani bidhaa zako hadi kupelekea kutafutwa sana kupitia mitandao mbalimbali. (Maana Instagram ina shirikiana na kampuni nyingine kutambua hilo)

Unaweza kuuza na mteja kununua bidhaa zako husika kupitia Instagram Shop au Facebook Shop hii itachangia kutambulisha bidhaa zako//au kumtambua mwanzilishi wake.

Unaweza kutembelea HQs au sHQs ukiwa na vitambulisho husika na viambatanisho kukiri kuwa ni mmiliki halal wa channel/account unayohitaji kuwa verified. (Na hii ndio njia nyepesi zaidi maana haitumi. Impressions, Insights, Likes, views na Followers.) Nyongeza hapa ni pale unaona mtu yupo na 907 au 1471 Followers na yupo verified.

Je! Umewahi kushangazwa Wasafi Company, Brisbane Roars, Arsenal Football Club au Gormahia wapo verified na timu za watu wote nyuma yako?
 
Hakikisha unakuza thamani bidhaa zako hadi kupelekea kutafutwa sana kupitia mitandao mbalimbali. (Maana Instagram ina shirikiana na kampuni nyingine kutambua hilo)

Unaweza kuuza na mteja kununua bidhaa zako husika kupitia Instagram Shop au Facebook Shop hii itachangia kutambulisha bidhaa zako//au kumtambua mwanzilishi wake.

Unaweza kutembelea HQs au sHQs ukiwa na vitambulisho husika na viambatanisho kukiri kuwa ni mmiliki halal wa channel/account unayohitaji kuwa verified. (Na hii ndio njia nyepesi zaidi maana haitumi. Impressions, Insights, Likes, views na Followers.) Nyongeza hapa ni pale unaona mtu yupo na 907 au 1471 Followers na yupo verified.

Je! Umewahi kushangazwa Wasafi Company, Brisbane Roars, Arsenal Football Club au Gormahia wapo verified na timu za watu wote nyuma yako?
Nimekusoma mkuu
 
Back
Top Bottom