kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Hello bosses........
Nadhan hii inawakuta watu wengi pia. Kuna muda unafanya decision bila kuwa na sababu yoyote ya msingi au logical. Hii wazungu hupenda kuiita 'gut feeling'. Yaan unaweza panga kwenda safari lakini ghafla tu unaamua kuahirisha halafu unasikia basi ulilopanga kusafiria limepata ajali. Au unajikuta tu unawaza kwenda sehemu fln na huko unaenda kukutana na bonge la bahati au dili la kazi. Hio fikra inayokusukuma kufanya kitu kinachokuletea manufaa bila kuwa na sababu yyt ya msingi waswahili tunaiita 'Machale' na kwa kizungu wanaita 'Instinct'
Sasa kwa muda mrefu nimekua nasoma makala nyingi kuhusiana na namna binadamu anavyofanya maamuzi na ni drives gani zinamsukuma mtu kufanya hayo maamuzi. Nikaja kugundua kwamba hayo yote yanaelezwa kwa kutumia principles za hesabu. Na ndipo nikaishia kukubali msemo fln unasema "INSTINCTS ARE MATHEMATICAL"
---> TUJIKUMBUSHE HILI KWANZA KUHUSU NAMNA BINADAMU ANAVYOFANYA MAAMUZI.
Maamuzi yote yanayofanya na binadamu ni lazima yapitie kwenye mfumo wa fahamu (Muunganiko wa Sensory organs, Nerves, Brain au Spinal Cord). Na hayo maamuzi yote binadamu anaweza kuyafanya akiwa kwenye state hizi tatu:-
1. CONSCIOUS (AKIWA NA FAHAMU)
2. SUB-CONSCIOUS (AKIWA NA NUSU FAHAMU)
3 UN-CONSCIOUS (AKIWA HANA FAHAMU)
Maamuzi mtu anayofanya akiwa na ufahamu kamili nadhan tunayafahamu, na yale akiwa hana kabisa ufahamu nadhan tunayafahamu pia (mfano kujigeuzageuza ukiwa umelala fofofo etc....). Mimi leo niko interested na haya maamuzi ambayo mtu anafanya au yale matendo ambayo mtu yanampata akiwa Sub-conscious.
Kuwa sub-conscious haimaanisha kuwa hujitambui. Mfano unaweza kuwa unakimbia na focus yako yoye ipo kwenye kukimbia lakini ni kawaida ya ubongo kuprocess information zozote zinazokuzunguka. So ubongo unaweza kuwa unafanya kazi subconsciously lakini ww focus yako ipo kwenye kukimbia tu, hili naomba lieleweke kwa sababu ndio kiini cha kitu nnachotaka kuzungumzia leo.
----> UHUSIANO ULIOPO KATI YA COMPUTER NA HUMAN BRAIN (AT DESIGN AND OPERATIONAL LEVEL)
Ubongo wa binadamu ni machine moja complex sana kuanzia namna inavyojifunza na namna inavyotunza data au taarifa mbalimbali na kuziprocess. And trust me maboresho yote watu wanayoyafanya kwenye computers na hizi all in one chips zime-base kwenye kuiga 'mimicing' namna ubongo unavyofanya kazi. Mambo kama Random Access Memory, Read only memory, data processing etc... yote yalikua inspired kutokana na ufanyaji kazi wa 'Human Brain', Ubongo
Sasa baada ya field ya computer science kukua watafiti baadhi wakaanza kujiuliza kwa nini hii machine (computer) tuloitengeneza na kuifanya iweze kukumbuka na kuprocess data tusiifanye iweze kujifunza kutokana na hizo data inazoziona? Na hicho ndicho kilichokua kimebaki katika harakati za kuiga namna ubongo unavyofanya kazi. Hillo swali ndilo limezalisha field za Machine Learning na Artificial Intelligence. Na field zote hzo deep down ni mahesabu ya ajabu sana kuwahi kufanywa kwenye ulimwengu huu ukiachana na yale ya Einstein na Nikola Tesla (Much respect).
Ubongo unajifunza kutokana na data inazopokea kutoka kwenye sensory organs. Ubongo wa mtoto mdg aliozaliwa tunaweza sema unakua empty coz hauna experience yyt. Mtoto akishika moto akaungua anajua hii haifai, na hio ni kwa sababu ubongo wake unajifunza kutokana na hicho kitendo na madhara yake. Hi ndio tunaiita 'Learning' kwa kimalikia (RIP). So tunaweza sema mtu anajifunza kutokana na experience lkn hio inategemea uwezo wa ubongo wake kujifunza. Hii inathibitishwa na mambo mbalimbali, mfano waswahili tunasema 'UTU UZIMA DAWA' Hii ni kwasababu mtu mzima anakua amepitia experiences nyingi hivo ubongo wake unakua umejifunza mambo mengi.
Na watafiti walivyoona hivo basi wakaamua kutengeneza hii field ya 'MACHINE LEARNING', ambayo lengo lake ni kufanya Machine (Computer) Iweze kujifunza kupitia Data Au Experience (tukilinganisha na ubongo). Na hii ufanyika kwa kupitisha Data nyingi sana kwenye algorithms mbalimbali ambazo hutafuta pattern na kisha kutengeneza models ambazo ndizo hutumika kufanya future decisions. Somo kuhusu undani wa hio kitu na process zake ni issue ya kuongelea siku nyingine. Leo naongelea namna Machale/ Instincts zinavyotengenezwa.
----> INSTINCTS / MACHALE (ZI)YANATENGENEZWAJE NDANI YA UBONGO? NA HESABU INAHUSIKANAJE HAPO?
Kama upo na mm hadi hapa basi nadhan umesoma nlivoelezea namna Machine Learning Inavofanyika. Kwa kurudia tu ni kwamba Data(Past experience) zinapitishwa kwenye 'Algorithms' (Mathematical decision making processes), Kisha hizo Algorithms hutumia very complex maths kugundua PATTERNS zilizopo ndani ya hizo data. Kisha hizo 'PATTERNS' hutumika kutengeneza MODELS ambazo hutumiwa na computer kufanya decision au kubashiri output in the future. Mfano computer inaweza pewa data za picha za wanawake thn inatengeneza patterns na kutumia hizo patterns kutengeneza model. Baadae computer itapewa picha random (ambayo haikuwepo awali) na kuulizwa ibashiri kama ni mwanamke au mwanamme. Sasa quality ya jibu inategemea na quality ya data zilizotumika wakati wa learning, hii iko hvohvo pia kwenye maisha yetu.
Kama umenielewa hapo juu basi process hiohio ndio hutumiwa na ubongo wa mwanadamu kutengeneza Machale/Instincts. Wewe ukiwa unafanya mambo yako mengine basi ubongo huwa unalearn 'sub-consciously' kutokana na mazingira uliopo, mambo unayosikia, vitu unavyofanya, vitu unavyoongea kwa kukurupuka na effect zake etc..... kisha ubongo wako unatumia hesabu zake kichwani kucreate pattern na kutengeneza decision making models ambazo sasa next time ukiwa unahitaji kufanya maamuzi fln na upo kwenye mazingira yanayofanana na your past experience (kpnd ubongo una-learn subconsciously bila ww kujua) hizo models zinakua-triggered na unajikuta unaamua tu bila kufikiria. Sasa ufasaha wa maamuzi hayo yanatokana na quality pamoja na quantity ya experience zako. Unaweza fanya maamuzi kwa machale na ukapata matokeo mabaya coz data/experience yako haitoshi lkn kwa wale wanaopata matokeo mazuri basi utakuta experience yao kwenye hilo jambo / field ni kubwa kiasi. Lakini hio learning yote inafanywa ww ukiwa hauna focus kwenye hilo jambo wakati huo na ndio maana wataalam wanaiita 'SUB-CONSCIOUS LEARNING', na kwa kuwa ww haukuwa na habari kpnd unajifunza(actually kpnd ubongo wako unajifunza) basi utaona ni bahati na kuita machale/instinct.
Hio haina tofauti sana na unaposhika kitu cha moto ukaungua then next time unaamua usikishike tena (CONSCIOUS LEARNING) kwa kuwa umejifunza, tofauti pekee ni kwamba kwenye kujenga instincts unakuwa umejifunza bila wewe kujua (SUB-CONSCIOUS LEARNING).
Ni hayo tu bosses, anyway kwa mwenye tatizo lolote ambalo anapenda kutatua kwa ufasaha zaidi kutumia Machine Learning, Artificial Intelligence au Data Analysis iwe kwenye biashara, product design, financial trading, etc...... anaweza kunitafuta tufanye kazi.
Peace.........
~ kali linux
Nadhan hii inawakuta watu wengi pia. Kuna muda unafanya decision bila kuwa na sababu yoyote ya msingi au logical. Hii wazungu hupenda kuiita 'gut feeling'. Yaan unaweza panga kwenda safari lakini ghafla tu unaamua kuahirisha halafu unasikia basi ulilopanga kusafiria limepata ajali. Au unajikuta tu unawaza kwenda sehemu fln na huko unaenda kukutana na bonge la bahati au dili la kazi. Hio fikra inayokusukuma kufanya kitu kinachokuletea manufaa bila kuwa na sababu yyt ya msingi waswahili tunaiita 'Machale' na kwa kizungu wanaita 'Instinct'
Sasa kwa muda mrefu nimekua nasoma makala nyingi kuhusiana na namna binadamu anavyofanya maamuzi na ni drives gani zinamsukuma mtu kufanya hayo maamuzi. Nikaja kugundua kwamba hayo yote yanaelezwa kwa kutumia principles za hesabu. Na ndipo nikaishia kukubali msemo fln unasema "INSTINCTS ARE MATHEMATICAL"
---> TUJIKUMBUSHE HILI KWANZA KUHUSU NAMNA BINADAMU ANAVYOFANYA MAAMUZI.
Maamuzi yote yanayofanya na binadamu ni lazima yapitie kwenye mfumo wa fahamu (Muunganiko wa Sensory organs, Nerves, Brain au Spinal Cord). Na hayo maamuzi yote binadamu anaweza kuyafanya akiwa kwenye state hizi tatu:-
1. CONSCIOUS (AKIWA NA FAHAMU)
2. SUB-CONSCIOUS (AKIWA NA NUSU FAHAMU)
3 UN-CONSCIOUS (AKIWA HANA FAHAMU)
Maamuzi mtu anayofanya akiwa na ufahamu kamili nadhan tunayafahamu, na yale akiwa hana kabisa ufahamu nadhan tunayafahamu pia (mfano kujigeuzageuza ukiwa umelala fofofo etc....). Mimi leo niko interested na haya maamuzi ambayo mtu anafanya au yale matendo ambayo mtu yanampata akiwa Sub-conscious.
Kuwa sub-conscious haimaanisha kuwa hujitambui. Mfano unaweza kuwa unakimbia na focus yako yoye ipo kwenye kukimbia lakini ni kawaida ya ubongo kuprocess information zozote zinazokuzunguka. So ubongo unaweza kuwa unafanya kazi subconsciously lakini ww focus yako ipo kwenye kukimbia tu, hili naomba lieleweke kwa sababu ndio kiini cha kitu nnachotaka kuzungumzia leo.
----> UHUSIANO ULIOPO KATI YA COMPUTER NA HUMAN BRAIN (AT DESIGN AND OPERATIONAL LEVEL)
Ubongo wa binadamu ni machine moja complex sana kuanzia namna inavyojifunza na namna inavyotunza data au taarifa mbalimbali na kuziprocess. And trust me maboresho yote watu wanayoyafanya kwenye computers na hizi all in one chips zime-base kwenye kuiga 'mimicing' namna ubongo unavyofanya kazi. Mambo kama Random Access Memory, Read only memory, data processing etc... yote yalikua inspired kutokana na ufanyaji kazi wa 'Human Brain', Ubongo
Sasa baada ya field ya computer science kukua watafiti baadhi wakaanza kujiuliza kwa nini hii machine (computer) tuloitengeneza na kuifanya iweze kukumbuka na kuprocess data tusiifanye iweze kujifunza kutokana na hizo data inazoziona? Na hicho ndicho kilichokua kimebaki katika harakati za kuiga namna ubongo unavyofanya kazi. Hillo swali ndilo limezalisha field za Machine Learning na Artificial Intelligence. Na field zote hzo deep down ni mahesabu ya ajabu sana kuwahi kufanywa kwenye ulimwengu huu ukiachana na yale ya Einstein na Nikola Tesla (Much respect).
Ubongo unajifunza kutokana na data inazopokea kutoka kwenye sensory organs. Ubongo wa mtoto mdg aliozaliwa tunaweza sema unakua empty coz hauna experience yyt. Mtoto akishika moto akaungua anajua hii haifai, na hio ni kwa sababu ubongo wake unajifunza kutokana na hicho kitendo na madhara yake. Hi ndio tunaiita 'Learning' kwa kimalikia (RIP). So tunaweza sema mtu anajifunza kutokana na experience lkn hio inategemea uwezo wa ubongo wake kujifunza. Hii inathibitishwa na mambo mbalimbali, mfano waswahili tunasema 'UTU UZIMA DAWA' Hii ni kwasababu mtu mzima anakua amepitia experiences nyingi hivo ubongo wake unakua umejifunza mambo mengi.
Na watafiti walivyoona hivo basi wakaamua kutengeneza hii field ya 'MACHINE LEARNING', ambayo lengo lake ni kufanya Machine (Computer) Iweze kujifunza kupitia Data Au Experience (tukilinganisha na ubongo). Na hii ufanyika kwa kupitisha Data nyingi sana kwenye algorithms mbalimbali ambazo hutafuta pattern na kisha kutengeneza models ambazo ndizo hutumika kufanya future decisions. Somo kuhusu undani wa hio kitu na process zake ni issue ya kuongelea siku nyingine. Leo naongelea namna Machale/ Instincts zinavyotengenezwa.
----> INSTINCTS / MACHALE (ZI)YANATENGENEZWAJE NDANI YA UBONGO? NA HESABU INAHUSIKANAJE HAPO?
Kama upo na mm hadi hapa basi nadhan umesoma nlivoelezea namna Machine Learning Inavofanyika. Kwa kurudia tu ni kwamba Data(Past experience) zinapitishwa kwenye 'Algorithms' (Mathematical decision making processes), Kisha hizo Algorithms hutumia very complex maths kugundua PATTERNS zilizopo ndani ya hizo data. Kisha hizo 'PATTERNS' hutumika kutengeneza MODELS ambazo hutumiwa na computer kufanya decision au kubashiri output in the future. Mfano computer inaweza pewa data za picha za wanawake thn inatengeneza patterns na kutumia hizo patterns kutengeneza model. Baadae computer itapewa picha random (ambayo haikuwepo awali) na kuulizwa ibashiri kama ni mwanamke au mwanamme. Sasa quality ya jibu inategemea na quality ya data zilizotumika wakati wa learning, hii iko hvohvo pia kwenye maisha yetu.
Kama umenielewa hapo juu basi process hiohio ndio hutumiwa na ubongo wa mwanadamu kutengeneza Machale/Instincts. Wewe ukiwa unafanya mambo yako mengine basi ubongo huwa unalearn 'sub-consciously' kutokana na mazingira uliopo, mambo unayosikia, vitu unavyofanya, vitu unavyoongea kwa kukurupuka na effect zake etc..... kisha ubongo wako unatumia hesabu zake kichwani kucreate pattern na kutengeneza decision making models ambazo sasa next time ukiwa unahitaji kufanya maamuzi fln na upo kwenye mazingira yanayofanana na your past experience (kpnd ubongo una-learn subconsciously bila ww kujua) hizo models zinakua-triggered na unajikuta unaamua tu bila kufikiria. Sasa ufasaha wa maamuzi hayo yanatokana na quality pamoja na quantity ya experience zako. Unaweza fanya maamuzi kwa machale na ukapata matokeo mabaya coz data/experience yako haitoshi lkn kwa wale wanaopata matokeo mazuri basi utakuta experience yao kwenye hilo jambo / field ni kubwa kiasi. Lakini hio learning yote inafanywa ww ukiwa hauna focus kwenye hilo jambo wakati huo na ndio maana wataalam wanaiita 'SUB-CONSCIOUS LEARNING', na kwa kuwa ww haukuwa na habari kpnd unajifunza(actually kpnd ubongo wako unajifunza) basi utaona ni bahati na kuita machale/instinct.
Hio haina tofauti sana na unaposhika kitu cha moto ukaungua then next time unaamua usikishike tena (CONSCIOUS LEARNING) kwa kuwa umejifunza, tofauti pekee ni kwamba kwenye kujenga instincts unakuwa umejifunza bila wewe kujua (SUB-CONSCIOUS LEARNING).
Ni hayo tu bosses, anyway kwa mwenye tatizo lolote ambalo anapenda kutatua kwa ufasaha zaidi kutumia Machine Learning, Artificial Intelligence au Data Analysis iwe kwenye biashara, product design, financial trading, etc...... anaweza kunitafuta tufanye kazi.
Peace.........
~ kali linux