Intelijensia: Simba itatolewa kwa kulazimishwa suluhu

Wivu wa kike huu.

Beki.unayoisema ndiyo beki iliyofungwa magoli machache zaidi katika premiere league.
Kupoteza mechi mbili haiwezi kuwa kigezo cha uchambuzi wako zaidi ya kuongozwa na kiroho papo
Great Mikia for the Good Fight . But bado hamna kikosi cha maana. Sidhani kama hiki kikosi kitawapeleka robo fainali. Mtaishia katikati Tu . Sijaona kama mna Beki ya kucheza As Vita , TP Mazembe et etc
 
Great Mikia for the Good Fight . But bado hamna kikosi cha maana. Sidhani kama hiki kikosi kitawapeleka robo fainali. Mtaishia katikati Tu . Sijaona kama mna Beki ya kucheza As Vita , TP Mazembe et etc
We jamaa Simba inakutesa Sana.
 
Intelijensia uchwara na maneno mengi page nzima halau upuuzi mtupu
 
Great Mikia for the Good Fight . But bado hamna kikosi cha maana. Sidhani kama hiki kikosi kitawapeleka robo fainali. Mtaishia katikati Tu . Sijaona kama mna Beki ya kucheza As Vita , TP Mazembe et etc
Kwani intelensia yako ilihusu mechi ya Simba dhidi ya hao Vita na Mazembe au ilihusu Platinum? Mbona unataka kuua soo? Aibu kubwa, ningekuwa mimi ningekaa pembeni kwa muda, kuliko kuja na unabii mpya wa Vita na Mazembe. Aibu kwako na watoto wako mkuu!
 
Jamaa alieandika uzi huu lazma aurudie na ajitafakari mara mbili mbili lazma atakua na mattzo mahali sio bure na nahisi hata 0712... Haina yale marinda kwa mm ni hilo tu.
 
Jamaa alieandika uzi huu lazma aurudie na ajitafakari mara mbili mbili lazma atakua na mattzo mahali sio bure na nahisi hata 0712... Haina yale marinda kwa mm ni hilo tu.
cc: Mk54
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…