Intelijensia ya Marekani bado wako juu sana

Intelijensia ya Marekani bado wako juu sana

olele

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
1,305
Reaction score
1,572
Kiukweli Intellijensia ya Marekani wako makini sana.

Kuna gaidi mmoja wa ISIS alijipiga selfie mbele ya makao makuu yao alafu akaituma kwenye Social Media.Baada ya muda mfupi jamaa wa Intelijensi ambao wanamonitor accounts zote za ISIS members na mashabiki wao wakaiona na kupinpoint hilo eneo mpaka kugundua kuwa ni makao makuu ya ISIS Syria, baada ya masaa 22 jengo lote likawa majivu.

‘Moron' terrorist takes a selfie in front of ISIS headquarters, Air Force bombs it 22 hours later

us-air-force-f-22a-raptor.jpg

Apparently, looks can kill. In a very real story that we assure you did not originate from The Onion, a terrorist from ISIS recently took a selfie of himself and posted it online.

Shortly thereafter, U.S. Intelligence, which heavily monitors social media accounts from ISIS members and supporters, managed to pinpoint an ISIS headquarters building in Syria by using the selfie photo as a reference point.

According to Air Force General Hawk Carlisle (which is a perfect name for an Air Force General we must say), airmen from Hurlburt Field, Florida in the 361st Intelligence, Surveillance and Reconnaissance Group were the first to pick up on the photo.

"The guys that were working down out of Hurlburt, they're combing through social media and they see some moron standing at this command,"Carlisle said in an interview with Defense Tech. "And in some social media, open forum, bragging about the command and control capabilities for Daesh, ISIL. And these guys go: ‘We got an in.' So they do some work, long story short, about 22 hours later through that very building, three [Joint Direct Attack Munitions] take that entire building out."

Source:
Moron terrorist takes a selfie in front of ISIS headquarters, Air Force bombs it 22 hours later
 
Makao makuu imelipuliwa kakini bado tutasikia wanaendelea kuteka miji.
 
Hakuna maana ya kulipua hayo makao makuu wakati bado anawapatia mafunzo na silaha
 
Hakuna maana ya kulipua hayo makao makuu wakati bado anawapatia mafunzo na silaha

Ivi unajua chimbuko la isis wew?...au umekaririshw story za uko madrasa af unaleta humu...
Embu naomba lete picha ya mpiganaji wa isis alieshika bunduki ya kimarekani(m16)....
 
Hayo yako ila mda mwengine ni media tu Caz Hio hq mda mwengine makachelo Kibao
 
Kitu ambacho hukijui ni kwamba picha mnazopiga zinaonesha details zote za hiyo picha! Kuanzia location, model ya camera etc!
 
Back
Top Bottom