INTELLECTUAL PROPERTY na HUMAN RIGHTS LAW

Mpigamsuli

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
3,885
Reaction score
582
Wakuu naomba msaada wa kujua kati ya intellectual property law na human rights law ipi iko vizuri katika ajira,kujiajiri na mambo mengine
 
Kazi ya sheria hutegemea sana na idadi ya migogoro iliyopo katika jamii, angalia jamii yako kwa sasa kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu kama vile haki ya kuishi, kutokuteswa, kutoa na kupokea habari, elimu, kazi, nk, kisha uone mwajiri hasa ni nani kama vile serikali au ngo, halafu angalia wimbi la ukiukwaji wa sheria za mali-akili, kama vile ukiukwaji wa hakimiliki ya watunzi mbalimbali,waimbaji na waigizaji, na je mwajiri wako katika secta hii anatarajiwa kuwa nani?? Hata hivyo kwa maoni yangu kuwa Sheria ya haki za binadamu ni kubwa kuliko sheria ya mali-akili kwakuwa kumiliki mali ni haki ya binadamu pia.
 
Wakuu naomba msaada wa kujua kati ya intellectual property law na human rights law ipi iko vizuri katika ajira,kujiajiri na mambo mengine
kwa kujiajiri intellectual property ni nzuri, ila kwa kuajiriwa ni human rights law. human rights law ni kwaajini ya kuajiriwa tu pamoja na kwamba unaweza kuwakilisha watu hata kwa private.
 
Kimsingi, a good lawyer s the one who know where to find the law, human rghts ni cross cutting, hata intellectual property ukienda in detail, the one who infringes it amekiuka haki yako ya kupata ujira sahihi kwa kazi yako! Therefore human right is not the issue of state vs an individual, it can be between persons, my friend hata taasisi za kuajiri waliosoma ip ziko wapi? You should know where to find the law for a particular issue you encounter, kuna watu wamesoma tax law mpaka leo wanaiota tra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…