Intelligence ya Kenya ni dhaifu sana ukilinganisha na ya Tanzania

Intelligence ya Kenya ni dhaifu sana ukilinganisha na ya Tanzania

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,932
Reaction score
4,544
Alshabab imeshafanya mashambulizi ndani ya taifa la kenya zaidi ya mara 130 na yote yalifanikiwa,Kenya taifa lililochokozwa na magaidi shetani ya alshabab hatimae likaamua kuwavamia bila tahadhari limejikuta kila siku likiomboleza misiba ya kijinga inayotokana na poor intelligence,haiwezekani taifa linalojijua fika kuwa linaandamwa na magaidi halafu basi linasafiri maili nyingi msituni bila ulinzi wowote,matokeo yake watu 28 wanauliwa kikatili,Tanzania wakati tukifanya kampeni kuikomboa SA makaburu wengi walikamatwa wakijaribu kutu sabotage,lakini sasa hivi TISS inafanya kazi kuilinda ccm usiku na mchana ili iendelee kutawala,pia kulifilisi taifa kwa issues za IPTL/EPA/ESCROW kuiba wanyama wetu na n.k,TISS inatumia ufanisi wake ktk kuhakikisha watanzania tunakufa njaa kwa kutufilisi kila tulichopewa na MUNGU,TISS sasa ni hatari kwa watanzania wote,inatumika kama ngao dhidi ya u.she.nz wa kutisha tunaofanyiwa na haya ma vampire ccm,ila ipo siku,kila jambo lina mwisho.
 
Heading na content hazina mtiririko wa kimantiki. Anyway sajenti hajambo?
 
alshabab imeshafanya mashambulizi ndani ya taifa la kenya zaidi ya mara 130 na yote yalifanikiwa,kenya taifa lililochokozwa na magaidi shetani ya alshabab hatimae likaamua kuwavamia bila tahadhari limejikuta kila siku likiomboleza misiba ya kijinga inayotokana na poor intelligence,haiwezekani taifa linalojijua fika kuwa linaandamwa na magaidi halafu basi linasafiri maili nyingi msituni bila ulinzi wowote,matokeo yake watu 28 wanauliwa kikatili,tanzania wakati tukifanya kampeni kuikomboa sa makaburu wengi walikamatwa wakijaribu kutu sabotage,lakini sasa hivi tiss inafanya kazi kuilinda ccm usiku na mchana ili iendelee kutawala,pia kulifilisi taifa kwa issues za iptl/epa/escrow kuiba wanyama wetu na n.k,tiss inatumia ufanisi wake ktk kuhakikisha watanzania tunakufa njaa kwa kutufilisi kila tulichopewa na mungu,tiss sasa ni hatari kwa watanzania wote,inatumika kama ngao dhidi ya u.she.nz wa kutisha tunaofanyiwa na haya ma vampire ccm,ila ipo siku,kila jambo lina mwisho.
tz kuna wizi kenya kuna al shababu
 
We kweli kiboko,unaonyeshwa ulipokosea bado unakomaa
 
Kama alshabaab wanne pale westgate,gsu na kdf yote ya kenya waliwashindwa.
 
Kama alshabaab wanne pale westgate,gsu na kdf yote ya kenya waliwashindwa.

Aisee ilikuwa aibu ya karne alaf hii juz alshabaab walivoteka basi na kuuwa watu wasio na hatiya kdf nayo ikaona ijisafishe kwa propaganda eti wamevamia kambi ya magaid wa alshabaab na kuwauwa 100.
 
Alshabab imeshafanya mashambulizi ndani ya taifa la kenya zaidi ya mara 130 na yote yalifanikiwa,Kenya taifa lililochokozwa na magaidi shetani ya alshabab hatimae likaamua kuwavamia bila tahadhari limejikuta kila siku likiomboleza misiba ya kijinga inayotokana na poor intelligence,haiwezekani taifa linalojijua fika kuwa linaandamwa na magaidi halafu basi linasafiri maili nyingi msituni bila ulinzi wowote,matokeo yake watu 28 wanauliwa kikatili,Tanzania wakati tukifanya kampeni kuikomboa SA makaburu wengi walikamatwa wakijaribu kutu sabotage,lakini sasa hivi TISS inafanya kazi kuilinda ccm usiku na mchana ili iendelee kutawala,pia kulifilisi taifa kwa issues za IPTL/EPA/ESCROW kuiba wanyama wetu na n.k,TISS inatumia ufanisi wake ktk kuhakikisha watanzania tunakufa njaa kwa kutufilisi kila tulichopewa na MUNGU,TISS sasa ni hatari kwa watanzania wote,inatumika kama ngao dhidi ya u.she.nz wa kutisha tunaofanyiwa na haya ma vampire ccm,ila ipo siku,kila jambo lina mwisho.

Kiongoz intelligence operations siku zote huwa ni vitu vinavyofanyika kwa siri kubwa sana, tiss hawawezi ata siku moja kutoka hadharani nakusema mambo mangapi wameyafanya kuzuia au kudhibiti kabisa hujuma zozote dhidi ya tz, ata hizo za epa , escrow , richmond, they will always remain silent no matter what accusation against them are.

Wenyewe ndio wanaujua ukweli wa hizo kashifa zote and then wont say a word , watu tutabaki kuspeculate tu
 
Huwa sipendi uchonganishi. Hujaonyesha analysis yoyote badala yake umebase kwenye matukio nk. Hujengi hata kidogo.
 
Kenya wapo Karibu zaidi na wasomali kuliko sisi. Pili Kenya tayari wana pambana na alshabab Kwaiyo wanna uadui mkubwa sana nao. Ni tofauti na makaburu wapo mbali sana na sisi. Ni rahisi kuwazuia. Makaburu hawana roho ya kujitoa mhanga kama alshabab. Kenya imegawanyika sana kikabila suala ambalo pia linapunguza efficiency ya taifa lao katika mambo ya intelligence.
 
Wewe intlijence yako hapa Tz iko wapi? Watz wanaokufa mahospitalini kwa kukosa dawa kwa wizi mkubwa wa kihistoria mabilioni ya pesa ni wengi kuliko hao wa kenya wanaouliwa na Alshabab. Au kwakua mauti haya hayajakukuta wewe na familia yako?

Tanzania inteligence itumike kwanza kuzuia wizi kabla ya majaribu ya vikundi kama vya alshabab.
 
sasa iptl wanahusiana vipi na alshabab??
 
zoezi la kusukuma gurudumu la maendeleo ya taifa la tanzania litaendelea kuwa gumu/zito sana kama huyu mleta maada ni mmoja kati ya wasukumaji


.made in mby city.
 
Mwandishi katumwa kufitinisha intelligensia ya kenya na tanzania sio bure,tulia ujirekebishe.
 
Mmh mbona mwandishi umeandika story mbili tofauti.... Halafu heading inalenga story moja.....Duh Kazi kwelii kwelii
 
- analysis ya huyu jamaa haiko sawa, masuala ya intelligence sio kitu unachoweza kukisemea kwa wepesi kiasi hicho, kuna mambo mengi. Kwanza tiss yenyewe haifahamu
 
Dah we jamaa unafurahisha sana yaani kama chakula ni sawa na kunywa chai na chipsi kwani umeongea habari mbili tofauti huku ukizipa kichwa cha habari kimoja...Hata hivyo content ya habari yako sio mbaya
 
Hamjamuelewa jamaa. Lengo lake alitaka msome udhaifu wa tiss katika kushuhulikia maswala muhimu ya kitaifa kabla hayajatokea kama huo wizi, ufisadi na unyang'anyi wa maccm ila akaiweka heading hivyo ili ipate wachangiaji
 
Back
Top Bottom