Intelligence ya Kenya ni dhaifu sana ukilinganisha na ya Tanzania

Hamjamuelewa jamaa. Lengo lake alitaka msome udhaifu wa tiss katika kushuhulikia maswala muhimu ya kitaifa kabla hayajatokea kama huo wizi, ufisadi na unyang'anyi wa maccm ila akaiweka heading hivyo ili ipate wachangiaji

Upo Sawa Mkuu Watu Ni Wagumu Sana Kuelewa.
 

Ukianzisha uzi ujitosheleze kwa hoja sio mchanyato kama huu
 
Inaonyesha unachuki sana na TISS kwa hilo sikuulizi sababu ila ninaomba nikuulize jee unafahamu majukumu ya chombo hicho???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…