Inter yatimua kocha,milan majeruhi kibao...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Kutokana na mwenendo usioridhisha wa Inter Milan,klabu hiyo imemtimua kocha wake Ranieri.Wakati huohuo,ikikabiliwa na kibarua kigumu dhidi ya Barcelona hapo kesho,klabu ya AC Milan inaandamwa na majeruhi wa kutosha.Wachezaji ambao hadi sasa ni majeruhi ni Robinho,Pato,Abate,Merkel na Thiago Silva.Barcelona watamkosa David Villa tu ambaye kimsingi amerithiwa na Sanchez na Tello...
 
Inter,AC milan na Barca
Hangover au?
OTIS
 
Ranieri ana historia ya kufukuzwa. je walijua hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…