CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Wadau, habari zenu?
Ni bank gani hapa Tz inaweza kumkopesha mtu kupitia salary yake ambayo inapitia bank nyingine ambako mtu ana mkopo?
Mfano:
Salary inapitia bank A
Net salary ni 8M
Loan deduction at bank A ni 3M
Balance in Account: 5M
Ni bank gani inaweza kukopesha kwa kutumia hiyo 5M inayobaki kwa maana kwamba ikawa inakatwa 2M kila mwz toka ktk Account iliyopo bank A na kuwa transferred kwenda bank B kama loan deduction for bank B?
Nimesema hivyo nikiwa najua kuwa financial institutions hazitakiwi kukata zaidi ya 40% ya net balance ya mtu.
Au hiyo kitu haipo ktk banks?
Ni bank gani hapa Tz inaweza kumkopesha mtu kupitia salary yake ambayo inapitia bank nyingine ambako mtu ana mkopo?
Mfano:
Salary inapitia bank A
Net salary ni 8M
Loan deduction at bank A ni 3M
Balance in Account: 5M
Ni bank gani inaweza kukopesha kwa kutumia hiyo 5M inayobaki kwa maana kwamba ikawa inakatwa 2M kila mwz toka ktk Account iliyopo bank A na kuwa transferred kwenda bank B kama loan deduction for bank B?
Nimesema hivyo nikiwa najua kuwa financial institutions hazitakiwi kukata zaidi ya 40% ya net balance ya mtu.
Au hiyo kitu haipo ktk banks?