complex31
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 421
- 1,289
Habari,
Kwa watumiaji wa barabara ya Bagamoyo, Ali Hassan Mwinyi pamoja na viunga vyake vya Sam Nujoma kuna ujenzi unaendelea wa BRT phase ya 4.
Awamu iliyopita bwana Humphrey PolePole alisema kua kuna Interchange zitajengwa Makutano ya Bagamoyo na Sam Nujoma Road (Mwenge)
Makutano ya Ali Hassan Mwinyi na Kawawa Road (Morocco) na
Makutano ya Morogoro na Kawawa Road (Magomeni)
Kwa ujenzi unaoendelea hakuna dalili ya ujenzi wa Interchange yeyote katika makutano haya kwa kuangalia
1. Utanuzi na ujenzi wa Njia mbadala kupisha eneo la ujenzi wa Hizo Interchange
2. Mitambo ya kuchimba Mashimo ya nguzo ya hizo Interchange
3. Vituo vya BRT 4 kua karibu sana makutano ya hizi barabara
Tukumbuke BRT phase 1 kituo cha Ubungo Maziwa ilibidi kivunjwe na kusogezwa nyuma kupisha mradi wa Kijazi interchange.
Kwa Foleni za magari Mwenge na Morocco ni wakati sahihi kujenga hizi interchange kuepusha kupoteza muda barabarani na wananchi tutumie muda mwingi katika majukumu ya kujenga taifa na sio kwenye foleni za Daladala na magari.
Humphrey Polepole alisema pesa za kujenga Interchange hizi zipo tayari hivo basi nashauri mkandarasi wa sasa anaejenga BRT 4 aendeleze na hizi Interchange 3.
Unaweza andika Youtube “PolePole Interchange na ukapata Video akielezea mikakati ya hizo Interchange
View: https://youtu.be/f6ztH295mbc?si=7B4bO8T7_byPRQfI
Nawakilisha.
Kwa watumiaji wa barabara ya Bagamoyo, Ali Hassan Mwinyi pamoja na viunga vyake vya Sam Nujoma kuna ujenzi unaendelea wa BRT phase ya 4.
Awamu iliyopita bwana Humphrey PolePole alisema kua kuna Interchange zitajengwa Makutano ya Bagamoyo na Sam Nujoma Road (Mwenge)
Makutano ya Ali Hassan Mwinyi na Kawawa Road (Morocco) na
Makutano ya Morogoro na Kawawa Road (Magomeni)
Kwa ujenzi unaoendelea hakuna dalili ya ujenzi wa Interchange yeyote katika makutano haya kwa kuangalia
1. Utanuzi na ujenzi wa Njia mbadala kupisha eneo la ujenzi wa Hizo Interchange
2. Mitambo ya kuchimba Mashimo ya nguzo ya hizo Interchange
3. Vituo vya BRT 4 kua karibu sana makutano ya hizi barabara
Tukumbuke BRT phase 1 kituo cha Ubungo Maziwa ilibidi kivunjwe na kusogezwa nyuma kupisha mradi wa Kijazi interchange.
Kwa Foleni za magari Mwenge na Morocco ni wakati sahihi kujenga hizi interchange kuepusha kupoteza muda barabarani na wananchi tutumie muda mwingi katika majukumu ya kujenga taifa na sio kwenye foleni za Daladala na magari.
Humphrey Polepole alisema pesa za kujenga Interchange hizi zipo tayari hivo basi nashauri mkandarasi wa sasa anaejenga BRT 4 aendeleze na hizi Interchange 3.
Unaweza andika Youtube “PolePole Interchange na ukapata Video akielezea mikakati ya hizo Interchange
View: https://youtu.be/f6ztH295mbc?si=7B4bO8T7_byPRQfI
Nawakilisha.