Interest rate ya mkopo baada ya kufungua kesi

mzeemzima

Senior Member
Joined
Apr 14, 2010
Posts
123
Reaction score
78
Ndugu wanasheria,

Naomba msaada wa kujuzwa kuhusu hili,

Kuna mkopo ulikopwa wa thamani ya Millioni 7 kutoka benki, baada ya hapo kulitokea utata katika malipo ya mkopo , mkopaji akaenda mahakamani wakati anaenda mahakamani kutokana na riba deni likafikia Millioni 13. Kesi imekaa mahamani kwa miaka 10 mapaka . Je kisheria deni la mkopo huu kwa sasa ni sh Millioni 7 au Sh Millioni 13 au ni Sh Millioni 13 Jumlisha na interest ya miaka yote 10 ya kesi kuwa mahakamani?

Natanguliza Shukrani kwa ufafanuzi wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…