KndNo1
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 627
- 2,049
Engine ya gari ina moving parts nyingi.. Kila moja ina kazi yake na mwendo wake..nyingine zinapanda zinashuka.. Nyingine zinazunguka kwa utaratibu maalumu.. Ili movements ziende kwa kufuata utaratibu/rhythm engine inabidi ifanyiwe timing.. Kuna timing belts na chains.
Ikitokea belt au chain kukatika, husababisha movements kwenda nje ya utaratibu.
Movements kwenda nje ya utaratibu kuna madhara.. Ukubwa wa madhara hutegemea engine yako ni Interference au ni Non Interference.
Interference..
Engines nyingi zipo kundi hili..
Hizi ni zile engines ambazo piston na valve zinashare njia..! Timing belt/chain ikikatika wakati unaendesha.. Piston na Valves zitakutana.. Italeta madhara makubwa sana kwenye engine.. Hasa ukiwa mwendo mkali..
Kupindisha valves..
Kuharibu pistons..
Kuharibu cylinder head..
Kubadilisha engine yote..!
Non-interference
Engine hizi ni zakizamani.
Hizi engine ni kinyume.. Piston na Valve haziwezi kukutana.. Hapa hata timing belt/chain ikatike hakuna madhara utapata zaidi ya kupaki gari pembeni na kubadilisha belt/chain.
Mifano yake
Toyota 7A kwenye Corolla
Suzuki G13B kwenye Samurai SJ413
Kutokana na mahitaji ya kupata power kubwa kwa engine ndogo.. Gari ziwezinatumia mafuta kidogo.. Emissions standards.. Imepelekea non interference engines kuwa nje ya soko.. Sababu hairuhisu valves kufunguka vizuri(poor airflow) na compression inakuwa ndogo kwenye engine.
Ni vizuri ukafahamu engine yako ipo kundi gani kama blood group yako.
Ikitokea belt au chain kukatika, husababisha movements kwenda nje ya utaratibu.
Movements kwenda nje ya utaratibu kuna madhara.. Ukubwa wa madhara hutegemea engine yako ni Interference au ni Non Interference.
Interference..
Engines nyingi zipo kundi hili..
Hizi ni zile engines ambazo piston na valve zinashare njia..! Timing belt/chain ikikatika wakati unaendesha.. Piston na Valves zitakutana.. Italeta madhara makubwa sana kwenye engine.. Hasa ukiwa mwendo mkali..
Kupindisha valves..
Kuharibu pistons..
Kuharibu cylinder head..
Kubadilisha engine yote..!
Non-interference
Engine hizi ni zakizamani.
Hizi engine ni kinyume.. Piston na Valve haziwezi kukutana.. Hapa hata timing belt/chain ikatike hakuna madhara utapata zaidi ya kupaki gari pembeni na kubadilisha belt/chain.
Mifano yake
Toyota 7A kwenye Corolla
Suzuki G13B kwenye Samurai SJ413
Kutokana na mahitaji ya kupata power kubwa kwa engine ndogo.. Gari ziwezinatumia mafuta kidogo.. Emissions standards.. Imepelekea non interference engines kuwa nje ya soko.. Sababu hairuhisu valves kufunguka vizuri(poor airflow) na compression inakuwa ndogo kwenye engine.
Ni vizuri ukafahamu engine yako ipo kundi gani kama blood group yako.