Intergovernmental Agreements (IGAs) na Host Government Agreements (HGAs) zina standard template inayotumika kuwanyonya third world countries

Intergovernmental Agreements (IGAs) na Host Government Agreements (HGAs) zina standard template inayotumika kuwanyonya third world countries

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Nimefanya simple research nikaona kuwa - Intergovernmental Agreements (IGAs) na Host Government Agreements (HGAs), zina template maalum ambayo mabeberu waliitengeneza kulinda maslahi yao na kuiba mali za developing world. Nimesoma mikataba iliyopo kwenye google nikagundua format hiyo iko kila mkataba.

Ukisoma mikataba mingi ya uwekezaji wa kutoka Developed countries ambazo zinatafuta mali asili ya Africa, yote imeandikwa kwa format moja with same wording.

Katika kuandika template hizo of course hawakuwashirikisha wenye mali za asili wanazozihitaji na hivyo kuwa mitakata ya hovyo kwa upande wa waafrika na third world zingine.
Kama alivyosema Prof shivji, zinatoa wajibu kwa nchi za third world na wao kuwa na all rights

Nini kifanyike:

Ni nchi za dunia ya tatu kuwaita mabeberu na kuwalazimisha kupitia upya na kubadirisha format/mikataba hiyo kandamizi.
 
Unaweza kuweka mifano mitatu au zaidi ya IGA kati ya mataifa ya ulaya, Afrika, Amerika na Asia ulizopitia katika research yako?
Tujaribu pia kuangalia kati ya nchi zilizoendelea zenyewe kwa zenyewe kwani nazo ni IGA na zilianzia huko.
 
Hizi IGA, BITs nk ni maalumu kwaajili ya kukabiliana na wimbi la utaifishaji wa maliasili uliokuwa ukifanywa na mataifa ya haya ya dunia ya pili na tatu

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Hizo IGA, BITs hazina tatizo lolote kama viongozi wajinga wakiamua kuweka mbele maslahi ya mataifa yao, Tanganyika ikiwemo.

Tatizo unaloliona wewe halipo kwenye IGA kama nature ya mkataba, tatizo lipo kwa wajinga wanaoweka vifungu vya kinyonyaji kwa mataifa yao wenyewe wanayoyaongoza, ni walafi na wala rushwa.
 
Nimefanya simple research nikaona kuwa - Intergovernmental Agreements (IGAs) na Host Government Agreements (HGAs), zina template maalum ambayo mabeberu waliitengeneza kulinda maslahi yao na kuiba mali za developing world. Nimesoma mikataba iliyopo kwenye google nikagundua format hiyo iko kila mkataba.

Ukisoma mikataba mingi ya uwekezaji wa kutoka Developed countries ambazo zinatafuta mali asili ya Africa, yote imeandikwa kwa format moja with same wording.

Katika kuandika template hizo of course hawakuwashirikisha wenye mali za asili wanazozihitaji na hivyo kuwa mitakata ya hovyo kwa upande wa waafrika na third world zingine.
Kama alivyosema Prof shivji, zinatoa wajibu kwa nchi za third world na wao kuwa na all rights

Nini kifanyike:

Ni nchi za dunia ya tatu kuwaita mabeberu na kuwalazimisha kupitia upya na kubadirisha format/mikataba hiyo kandamizi.
JPM ndiyo aliweza, hawa wengine ni bora liende
 
Unaweza kuweka mifano mitatu au zaidi ya IGA kati ya mataifa ya ulaya, Afrika, Amerika na Asia ulizopitia katika research yako?
Tujaribu pia kuangalia kati ya nchi zilizoendelea zenyewe kwa zenyewe kwani nazo ni IGA na zilianzia huko.
Do your homework......

Kwa hiyo unasema kwa vile na wao wanazitumia ni sahihi kuwanyonya third world countries??

In passing,, whatever the scenario, be it within developed world and third-world countries the IGAs and HGAs are one-sided favoring the would-be investor!
 
Hizo IGA, BITs hazina tatizo lolote kama viongozi wajinga wakiamua kuweka mbele maslahi ya mataifa yao, Tanganyika ikiwemo.

Tatizo unaloliona wewe halipo kwenye IGA kama nature ya mkataba, tatizo lipo kwa wajinga wanaoweka vifungu vya kinyonyaji kwa mataifa yao wenyewe wanayoyaongoza, ni walafi na wala rushwa.
Uko sahihi, ilibidi wavikatae vipengele vya kinyonyaji. Uko sahihi.
 
Twendeni na Mwabukusi ukombozi u karibu sana
Huu ni muda wa kuwaonesha kwa vitendo wasaliti wao ni wasimamizi wa rasilimali za taifa, sio wenye maamuzi ya mwisho, maamuzi ya mwisho yapo kwa watanganyika wenyewe.
 
Huu ni muda wa kuwaonesha kwa vitendo wasaliti wao ni wasimamizi wa rasilimali za taifa, sio wenye maamuzi ya mwisho, maamuzi ya mwisho yapo kwa watanganyika wenyewe.
Usikute denooJ wewe ndiye Mwabukusi mwenyewe . Kama siyo basi mnafanana sana misimamo.
 
Do your homework......

Kwa hiyo unasema kwa vile na wao wanazitumia ni sahihi kuwanyonya third world countries??

In passing,, whatever the scenario, be it within developed world and third-world countries the IGAs and HGAs are one-sided favoring the would-be investor!
Nobody knows everything.
We need to educate each other referring to facts and logic for betterment of our lives and the future generations.
Sijasema kwamba kwa kuwa wao wanazitumia ni sahihi kunyonya third world.
Hata hivyo, haziwezi kufanana moja kwa moja. Kila mkataba unatofautiana lengo, wahusika, wanaousimamia na mazingira unapotumika.
Cha msingi ni waafrika na wengine wanaonyonywa kurekebisha iendane na wanachokitaka. Hakuna anayewalazimisha kwa mtutu wa bunduki.
 
Twendeni na Mwabukusi ukombozi u karibu sana
Yaani utafikiri wewe uko ndani yangu, ili tuwe na saut za kusikilizana lazima kuikomboa nchi hii. Walafi hawatakaa wakaachia hii nchi kirahisi, never ever.
 
Nobody knows everything.
We need to educate each other referring to facts and logic for betterment of our lives and the future generations.
Sijasema kwamba kwa kuwa wao wanazitumia ni sahihi kunyonya third world.
Hata hivyo, haziwezi kufanana moja kwa moja. Kila mkataba unatofautiana lengo, wahusika, wanaousimamia na mazingira unapotumika.
Cha msingi ni waafrika na wengine wanaonyonywa kurekebisha iendane na wanachokitaka. Hakuna anayewalazimisha kwa mtutu wa bunduki.
Mbona sasa umeandika vema? haziwezi kufanana ila kuna base template ambayo kila mmoja anai modify to suit /according to his needs
nakuwekea mmoja uone hata definitions zinafanana na kutofautiana kidogo kama ulivyosema

tuko pamoja
 

Attachments

Mbona sasa umeandika vema? haziwezi kufanana ila kuna base template ambayo kila mmoja anai modify to suit /according to his needs
nakuwekea mmoja uone hata definitions zinafanana na kutofautiana kidogo kama ulivyosema

tuko pamoja
Kupishana kidogo ni kawaida. Tuvumiliane na kuelekezana. Tunajenga nyumba moja.
 
Kupishana kidogo ni kawaida. Tuvumiliane na kuelekezana. Tunajenga nyumba moja.
Thanks!
haya mambo yanachosha, we soma definitions tu utaona kuwa zinafanana na ya kDP world na kutofautiana kidogo ....
 
Nakubaliana na wewe bila shaka yoyote, hii ni aina mpya ya unyonyaji wa kikoloni.......jamaa wame formulate mkataba wa kuja kujichukulia rasilimali kwenye nchi zilizoendelea bila bughudha yoyote.

Tofauti na ukoloni wa kutumia mabavu, huu ni ukoloni wa kimkataba unaotumia vifungu kandamizi vya sheria.​
 
Nimefanya simple research nikaona kuwa - Intergovernmental Agreements (IGAs) na Host Government Agreements (HGAs), zina template maalum ambayo mabeberu waliitengeneza kulinda maslahi yao na kuiba mali za developing world. Nimesoma mikataba iliyopo kwenye google nikagundua format hiyo iko kila mkataba.

Ukisoma mikataba mingi ya uwekezaji wa kutoka Developed countries ambazo zinatafuta mali asili ya Africa, yote imeandikwa kwa format moja with same wording.

Katika kuandika template hizo of course hawakuwashirikisha wenye mali za asili wanazozihitaji na hivyo kuwa mitakata ya hovyo kwa upande wa waafrika na third world zingine.
Kama alivyosema Prof shivji, zinatoa wajibu kwa nchi za third world na wao kuwa na all rights

Nini kifanyike:

Ni nchi za dunia ya tatu kuwaita mabeberu na kuwalazimisha kupitia upya na kubadirisha format/mikataba hiyo kandamizi.
SIKU ZA UKOMBOZI zikifika Mungu huleta kiini macho watawala wasione, tukumbuke Farao alivyofumbwa macho asikubali kuwaachia Waisraeli Hadi Yale yaliyowakuta. CCM na serikali yao wamezoba maskio kelele zote za ubovu wa mkataba huu, Hadi yawakute ya kuwakuta.
 
Back
Top Bottom