International Aiports

International Aiports

kachumbari

Senior Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
126
Reaction score
9
Hivi kweli itawezekana kujenga international Airports 4 katika mikaka 5 ijayo,wakati nchi ina matatizo lukuki ya miundo mbinu yake yote ya zamani ambayo inahitaji ukarabati na mipya iliyoko na isiyo kuwepo kwenye makaratasi?,Ina Maana sisi watanzania wote ni ma zombie kuitikia ndio MZEE!?
 
Back
Top Bottom