Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Check out @MyDaressalaam’s Tweet:
Check out @MyDaressalaam’s Tweet:
Hii ni ya kubebea kuku nini?Watakuambia Matatu!
gari lakubebea taka limegeuzwa La Abiria kwa kupakwa marangi na mziki juu kama machizi!!
Sasa ulitegemea nini!! Wabebe takataka za kibera na slam zingine kuzipeleka CBD Kwa kutumia mabasi yakisasa wakati takataka zenyewe zimevaa suti zinanuka uvundo wa fly toiletsWatakuambia Matatu!
gari lakubebea taka limegeuzwa La Abiria kwa kupakwa marangi na mziki juu kama machizi!!
Mliacha kunya kwenye vituo vya BRT? Au shughuli yenu ya kupanda mipera mliihamisha hadi kwenye ile SGR yenu ya upepo?Sasa ulitegemea nini!! Wabebe takataka za kibera na slam zingine kuzipeleka CBD Kwa kutumia mabasi yakisasa wakati takataka zenyewe zimevaa suti zinanuka uvundo wa fly toilets
they are obsessed with kenya...hawajui BRT ipo nchi kama 100 hivi😀😀😀...wameona BRT sasa wanadhani wapo mbinguni😀😀😀 waafrika tutauwacha huu ushamba lini😀😀
Pole inakuchomathey are obsessed with kenya...hawajui BRT ipo nchi kama 100 hivi😀😀😀...wameona BRT sasa wanadhani wapo mbinguni😀😀😀 waafrika tutauwacha huu ushamba lini😀😀
BRT ni basi tu ndugu...nchi nyingi sana zinatumia usafiri huo infact wengine hata wamekuwa wakiutumia kwa muda mrefu sana...usafiri tu huo...tusipigane makofi kisa vitu vidogo vidogoPole inakuchoma
Hahaha, hiyo ni ya kubebea maitiHii ni ya kubebea kuku nini?
![]()
Sio basi tu. Hapo kuna neno moja unajifanya ulioni(RAPID) Hilo ndolinabeba mfumo mzima wa BRTBRT ni basi tu ndugu...nchi nyingi sana zinatumia usafiri huo infact wengine hata wamekuwa wakiutumia kwa muda mrefu sana...usafiri tu huo...tusipigane makofi kisa vitu vidogo vidogo
Unajua reli ya "wenye kichaa" in Kenya againthey are obsessed with kenya...hawajui BRT ipo nchi kama 100 hivi😀😀😀...wameona BRT sasa wanadhani wapo mbinguni😀😀😀 waafrika tutauwacha huu ushamba lini😀😀