International Tender for the BRT in Nairobi. Hongera Kenya kwa hatua nzuri.

Bravo my beloved TANZANIA
Bravo my President
Bravo BRT
 
Wewe huwa unaota Kenya usiku na mchana. Daktari anastahili kukupa dawa ya kupunguza mawazo kwa mpenziwe. Mpenziwe ni Kenya lakini punguza mawazo dah! Utakufa bado ungali mchanga kwa kuwaza sana. Kenya iko hapa haiendi kokote.
 
Sioni Nairobi inaingia vipi kwenye story.
 
Mbona Makonda amelegeza vita vyake dhidi ya mateja Dar.
 
Tanzania inawafunika wakenya kila kukicha.
 
Watakuambia Matatu!
gari lakubebea taka limegeuzwa La Abiria kwa kupakwa marangi na mziki juu kama machizi!!
 
Watakuambia Matatu!
gari lakubebea taka limegeuzwa La Abiria kwa kupakwa marangi na mziki juu kama machizi!!
Sasa ulitegemea nini!! Wabebe takataka za kibera na slam zingine kuzipeleka CBD Kwa kutumia mabasi yakisasa wakati takataka zenyewe zimevaa suti zinanuka uvundo wa fly toilets
 
Sasa ulitegemea nini!! Wabebe takataka za kibera na slam zingine kuzipeleka CBD Kwa kutumia mabasi yakisasa wakati takataka zenyewe zimevaa suti zinanuka uvundo wa fly toilets
Mliacha kunya kwenye vituo vya BRT? Au shughuli yenu ya kupanda mipera mliihamisha hadi kwenye ile SGR yenu ya upepo?
 
they are obsessed with kenya...hawajui BRT ipo nchi kama 100 hivi😀😀😀...wameona BRT sasa wanadhani wapo mbinguni😀😀😀 waafrika tutauwacha huu ushamba lini😀😀
 
they are obsessed with kenya...hawajui BRT ipo nchi kama 100 hivi😀😀😀...wameona BRT sasa wanadhani wapo mbinguni😀😀😀 waafrika tutauwacha huu ushamba lini😀😀

Kwa hiyo zikiwepo nchi 100 what's the issue. Mbona hizo fly over na SGR nchi nyingi tu wanazo.
Brother you can't invent the wheel.
Ahaaa haaa haaa.
 
they are obsessed with kenya...hawajui BRT ipo nchi kama 100 hivi😀😀😀...wameona BRT sasa wanadhani wapo mbinguni😀😀😀 waafrika tutauwacha huu ushamba lini😀😀
Pole inakuchoma
 
Pole inakuchoma
BRT ni basi tu ndugu...nchi nyingi sana zinatumia usafiri huo infact wengine hata wamekuwa wakiutumia kwa muda mrefu sana...usafiri tu huo...tusipigane makofi kisa vitu vidogo vidogo
 
BRT ni basi tu ndugu...nchi nyingi sana zinatumia usafiri huo infact wengine hata wamekuwa wakiutumia kwa muda mrefu sana...usafiri tu huo...tusipigane makofi kisa vitu vidogo vidogo
Sio basi tu. Hapo kuna neno moja unajifanya ulioni(RAPID) Hilo ndolinabeba mfumo mzima wa BRT
 
they are obsessed with kenya...hawajui BRT ipo nchi kama 100 hivi😀😀😀...wameona BRT sasa wanadhani wapo mbinguni😀😀😀 waafrika tutauwacha huu ushamba lini😀😀
Unajua reli ya "wenye kichaa" in Kenya again
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…